Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Magufuli kasema hayo yoote uliyotaja hapo juu ni upuuzi tu
 
Mambo haya ni makubwa sana ubongo wako ni kama wa memde hauwezi kuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
magufuli sasa hivi akiongea hotuba zake zinasambaa mpaka ulaya na amerika inakuwa ni gumzo.dunia nzima inatamani kusikia hotuba zake nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
HOTUBA NZURI ZA MAGUFULI? KWELI WEWE UPO MBALI NA UKWELI...HUYO LAUGHING STOCK ANAYESEMWA DUNIANI KWA UJINGA? MBONA HAJAZUNGUMZIA ILE DAWA YAKE FEKI ALIYOICHUKUA HUKO MALAGASY? KWANZA DUNIANI WANASIKIA KISWAHILI??? HAKUNA HATA MMOJA ANAYEVUTIWA NA HUYO MAGUFULI WAKO.
 
Jamaa anasema maiti za corona ziachwe zizikwe na ndugu na jamaa kama wanavozika wafu wengine kama wa ukimwi na TB
 
Watalii kutoka nchi gani??? Ni nchi IPI iliyonaakili timamu itaruhusu rain wake waje/warisk maisha Yao Tanzania.....Hivu unadhani hawajui kuwa Tz watu wanakufa kwa Corona na Data zinafichwa?????


Endeleeni kujitekenya
 
Corona ipo atuja kataa ila tusiifanye kuwakubwa kuliko Mola wetu ,alieumba Mbingu na ardhi na vilivyomo, kwahiyo ni lazima tufaham alimfiki mja jambo bila ya Mola kuridhia , kama wew ni wakufa na corona hata uchukue tahadhari vip ,utaondoka tu , kuna vitu lazima tuviweke sana ,
Kuna Corona ,ila tujue kuna Mola ambae hata mda huu akisema corona iondoke inaondoka mda huu huu!
Tuchukueni tahadhari ila tusimsahau Mola amini katka Mola wako Fanya ibada zako chukua tahadhari na Mola atakuvusha! Katika hili ,ila tusijisahau kabsa nakuona taratibu za wazungu ndio zipo sahihi sio Kweli , na ndio maana hata wakat wa Ebola madaktari wa virus waliita jamii usika na kujadiliana ,kuhusu jinsi ya kukabiliana na huo ugonjwa na jamii ilitoa njia zilizokua zinatumika za jadi na walifanikiwa ,
Kitu tunapaswa kuelewa ni kwamba hata karne za nyuma magonjwa yamilipuko yalikuepo na walitumia njia zao kwa wakt huo na wakafanikiwa na hakukua na lockdown, sio kwamba naipinga lockdown hapana ,ni lazima tujaribu njia tofauti maana sio kote iyo lockdown ilipo kuwa implemented imeleta Matokeo mema hapa ,kwengine imetumika na ugonjwa bado warindima, tujiulize tu kama huu ugonjwa tutakua nao kwa miaka kumi ijayo ,je tutakaa lockdown for ten years !? Kwa uchumi upi!? Hata hiyo Marekani aitahimili huo mshindo wake !
Kitu kiliitajika kufanywa ni watalaam wa magonjwa ya maambukizi barani Africa walipaswa kukaa na kuandaa mukthadha mzuri wa kupamba na huu ugonjwa na sio kukopi kutoka nchi za magharibi, ambayo pengine sio rafiki na jamii zetu,
Hata wew hapo jiulize tu kwa hazina uliyo nayo unao uwezo wa kukaa katka total lockdown kwa mda gani !? Na je hapo hapo ukawa na uwezo wa kuwasaidia nduguzo vijijin bila ya weye kuyumba ,!? Kiukweli hili suala linaitaj busara ya hali ya juu sana!si kwa viongozi wala wananchi wenyew, naangalia sisi ambao lazima tutoke ndio tueke mkate mezan! Je serikali itakua na uwezo wakugawa chakula kipind cha lockdown hadi iishe!?
Cha msingi ni kuchukua na kufanya kazi amna jinsi, hakika mauti yapo na kama uliandika utakufa kwa hili janga lazima ahad itimie, ila kama ni wakuishi ,utaish tu hata kijiji kizima kipate maambukizi utapona na kuishi,
Mola atufanyie wepesi katka kila kwenye uzito
Amin.
Angalia anavyowazuga watu anawaambia nyie kwani mmevaa barakoa. , anasema tumuachie mungu mean hata hizo barakoa haziamini, so watu wajiachie

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu kimepangwa sijui.. Au ni muendelezo wa maigizo.

Dr. Kaleman leo akiwa Ofisi za TANESCO-GEITA alivaa Barakoa lakini ameenda Kanisani kavua na kuonesha hali ni shwari wale wote waliokuwa Kanisani leo itakuwa wameambiwa wasivae Barakoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo raisi hahusiki na utoaji wa huduma za uhakika, hao anaowatuhumu si ni waajiriwa wake??
Tukisema hudama za afya zitolewazo na HSP za serikali zimefubaa/ dhaifu tutakuwa sahihi
 
Kama mtoto wa rais kapata corona na yule jamaa kigogo2014, hakujua basi kumbe ni
Mweupe sana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…