Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Comrade hongera kwa kutovaa barakoaWewe kula kulala uliyejifungia ndani kufuatilia habari kupitia mange na kigogo huwezi kuelewa haya mambo ni makubwa sana kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli kasema hayo yoote uliyotaja hapo juu ni upuuzi tuKama yapi?
Magufuli amepiga marufuku mwenge
Magufuli amepiga marufuku sherehe za muungano na pesa kapeleka visiwani zikapambane na corona
Magufuli amefuta mei mosi
Magufuli amefunga shule zote na vyuo
Magufuli amesimamisha michezo yote
Serikali ya magufuli ilitayarisha hosputali zake kwa ajili ya kupokea wagonjwa
Magufuli amesisitiza barakoa na kunawa mikono
Ulitaka Rais wetu afanye nini?mnyonge mnyongeni
Mambo haya ni makubwa sana ubongo wako ni kama wa memde hauwezi kuelewa.Na kuna watu laki kadhaa waliougua wakakaa tu nyumbani wakajifungia wakapona. Hahah zee jinga hili, mtu moja kupona haimaanishi ni dawa, ingekua hivyo watu milioni waliopona duniani kwa kukaa tu miili yao ikapambana na virusi tungesema hiyo ni dawa kwa hiyo tusifanye lolote.
PhD hivi aligawiwa bure? Au alifanyiwa research na mtu mwingine? Mbona jinga sana?
Mimi mtu asitmye mwelewa Rais Magufuli huwa nahesabu kama ni takataka tu.
Viba JPM
Sent using Jamii Forums mobile app
HOTUBA NZURI ZA MAGUFULI? KWELI WEWE UPO MBALI NA UKWELI...HUYO LAUGHING STOCK ANAYESEMWA DUNIANI KWA UJINGA? MBONA HAJAZUNGUMZIA ILE DAWA YAKE FEKI ALIYOICHUKUA HUKO MALAGASY? KWANZA DUNIANI WANASIKIA KISWAHILI??? HAKUNA HATA MMOJA ANAYEVUTIWA NA HUYO MAGUFULI WAKO.magufuli sasa hivi akiongea hotuba zake zinasambaa mpaka ulaya na amerika inakuwa ni gumzo.dunia nzima inatamani kusikia hotuba zake nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anasema maiti za corona ziachwe zizikwe na ndugu na jamaa kama wanavozika wafu wengine kama wa ukimwi na TBMhe. Rais Magufuli anatarajiwa kutuma salaam kwa Taifa leo Mei 17, 2020.
Hotuba yake inaaminika itajaa mambo mazito.
Kaa standby kwenye media zote na mitandao ya kijamii muda si mrefu ujao.
Inatarajiwa kuanzia mida ya saa sita na nusu mchana (12:30PM) ndipo atakuwa mubashara.
JF will cover it
======
View attachment 1452519
RAIS AMETOA SALAAM BAADA YA KUSHIRIKI KATIKA IBADA YA KANISA LA KKKT USHARIKA WA CHATO
Raisi Magufuli akiwa katika kanisa la KKKT Chato amepata nafasi ya kuzungumza mbapo ameongea mambo mbalimbali,
Katika hotuba hiyo Raisi ameanza kwa kumshukuru Mungu na viongozi wa dini wote nchini. Raisi magufuli amesema “Waimbaji wameimba hapa kwamba bila mungu huwezi kuongoza, bila kumtanguliza mungu huwezi ukafanya chochote. Kwahiyo napenda niwashukuru Watanzania wote, Viongozi wa dini mbalimbali ambao wameshiriki kuliombea taifa hili"
"Na ndio maana siku za nyuma wakati ugonjwa huu umeingia niliwaomba ndugu zangu watanzania angalau tutumie siku tatu za kuomba kwelikweli. Ninawashukuru sana kwa sababu wote tuliomba tulifunga na Mungu amejibu na Mungu ametusikia”
“Ndugu zangu mifano mingi imetolewa, hata katika mahubili yako leo Baba Mchungaji katika injili na katika matendo ya mitume umeeleza ni namna gani watu walivyoweza kumtegemea Mungu walivyoweza kufanikiwa”
“Yule kipofu alimlilia yesu, Mwana wa Daudi nirehemu, Yesu ambaye ni mtoto wa Mungu ambaye naye pia ni Mungu alimponya. Wakati wa dhoruba kula baharini wanafunzi walivyokuwa wamelala wakaona mtumbwi unataka kuzama walipiga kelele” Katika maandiko pia sehemu zingine Yesu aliwakemea kwanza mitume kwa kuwa na Imani ndogo na baadaye akaikemea pepo na mambo yakawa shwari kwahiyo sisi katika kipindi chochote kigumu cha aina yoyote tukimtanguliza Mungu tutafanikiwa”
“Kwahiyo ninawashukuru sana ndugu zangu, ninawashukuru sana Wachungaji, Masheikh, Mapadri, Maaskofu kila mmoja katika eneo lake ambao tulimtanguliza Mungu na Mungu ametusaidia sana”.
“Ndugu zangu katika mapambano ya aina yoyote ni vita. Ugonjwa huu wa Corona hauna tofauti na vita nyingine. Nilikwisha eleza na wataalamu pia wameahaeleza ni namna gani nzuri ya kuweza kupambana na ugonjwa huu hata Baba Mchungaji umezieleza mbinu zote”.
“Ni kweli sikutoa amri ya lockdown ya kuwafungia watu majumbani, ulikuwa ni utumwa wa ajabu. Imagine wewe Lyabange ufungiwe saa nyingine hata usionane na Mme wako Iseme au na watoto wako. Sisi hapa huwa tunaondoka asubuhi kwenda kuchukua chakula, ukachume viazi, maharage yako, uende ziwani ukavue hivyo vyote vingekuwa vimezuiliwa tungekuwa tuko wapi sisi Watanzania miliono 60?"
Huruhusiwi kwenda sokoni, na saa nyingine unaruhusiwa kutoka kidogo tu, halafu usiku usitoke kana kwamba Corona inatembea usiku tu. Hebu tujiulize sisi Watanzania tuna miradi mingi tumeweka katika nchi yetu, Hiyo miradi yote ingekuwa imesimama.
"Tunajenga reli kwa mabilioni ya fedha, Makandarasi kutoka Nje wale wote tungewazuia vijana wasipate kazi tungekuwa wapi?"
"Tunajenga Mradi wa umeme, thamani yake ni Zaidi ya Trilioni saba zimechukuliwa na Watanzania kwenda kuinvest pale kusudi tuwe na umeme, leo wale wote tungekuwa tumewasimamisha, vijana wale wote tungekuwa tumewasimamisha; tunajenga barabara zote zingekuwa zimesimama."
"Hapo tunajenga meli kwenye ziwa Viktoria na juzi mmeona Injini zimekuja kutoka Korea, zote zile zingekuwa tumesimamisha na injini zisingekuja."
.
Za kuamKasema chukueni tahadhari.. ulitaka atoe maneno unayotaka wewe kusikia?
Mbona makonda hakumtangaza huyu mgonjwa?Na amejifukiza kala malimao kapona,,
Wewe endelea kuishabikia Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia anavyowazuga watu anawaambia nyie kwani mmevaa barakoa. , anasema tumuachie mungu mean hata hizo barakoa haziamini, so watu wajiachie
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za kuambiwa changanya na zakoMagufuli kasema hayo yoote uliyotaja hapo juu ni upuuzi tu
Hawatangazi vifo wala idadi ya wagonjwa alafu anawaaminisha huu ugonjwa sio issue!
kazi kwenu wabongo!
Ni kuchezea motoMbona Bashite hakumtangaza huyo mgonjwa?
Wenye akili tunaendelea kuchapa kazi na kuchukua tahadhali,Comrade hongera kwa kutovaa barakoa
Kwa hiyo raisi hahusiki na utoaji wa huduma za uhakika, hao anaowatuhumu si ni waajiriwa wake??“Mimi Mtoto wangu wa kumzaa amepata corona akajifungia, akajifukiza akapiga malimao, sasa hivi ni mzima kabisa anapiga push-up, msije mkadhani mimi sijapata Mtu wa karibu mwenye corona, tuondoe hofu”-JPM
•
“Kuna mambo ya hovyo yanafanyika, kila Mtu akifariki wanakimbilia kumpima corona, Mtu amefariki unampima yanini?, nguvu za kumpima wanazo, za kumuhudumia akapona hawana, Mtu atakapofariki kwa ugonjwa wowote hata wa corona lazima azikwe kwa kawaida, corona sio Ebola” -JPM
•
“Kuna rafiki yangu mmoja Injinia alipata kiharusi akapelekwa Muhimbili, wakampima wakasema ana corona, amepelekwa Amana Watu wanamuogopa kisa ana corona, Ndugu zake wakamtoa wakampeleka Agha Khan, wamechukua vipimo wakakuta mzima hana corona, amepona yupo nyumbani” -JPM
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana Comrade kwa kutokuvaa barakoa.Wenye akili tunaendelea kuchapa kazi na kuchukua tahadhali,
Wajinga mnaendelea kuomboleza vifo vya korona vinavyotokea kwenye page ya kigogo 2014
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mtoto wa rais kapata corona na yule jamaa kigogo2014, hakujua basi kumbe niNimemsikia Rais akisema kuwa mwanae ilipata Corona hii inaweza kuwa sababu aliamua ajitenge ili kuepuka maambukizi ya Corona, kwa maoni yangu Rais alifanya jambo jema kama Kiongozi wa kitaifa na kuamua kufanya kazi kutoka Kijijini kwake Chato
Sent using Jamii Forums mobile app