Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Wanaamini Covid-19 imekwisha kwa jina la Yesu,Barakoa za nini sasa!

Kama inaweza kwisha kwa jina la Yesu mbona huko Vatikani (Italy) inaongezeka mpaka Papa Francis ameamua kufunga Peter Square na makanisa? Mungu anatupendelea sisi tu peke yetu? Hata Saudi Arabia wanaambukizwa
 
Tutawafundisha postgraduate kwa online
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…