Rais Magufuli: Hatutasitisha mishahara ya watumishi wa Umma kwa sababu ya COVID-19

Rais Magufuli: Hatutasitisha mishahara ya watumishi wa Umma kwa sababu ya COVID-19

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Ukiacha mambo mengine aliyo yazungumzia mh Rais Jana kwenye hotuba yake jambo la kutia faraja kwa watumishi wa Umma ni hili. Kwamba watendelea kuwalipa mishahara kama ilivyo kawaida na haita punguzwa.

Hili limewatoa hofu watumishi wengi walio kuwa na hofu ya kusitishiwa mishahara yao kwasababu ya Janga la Covid-19.

Waalimu walikuwa kwenye hatari zaidi hasa ukizingatia wao hawapo kazini kwasasa kutokana shule kufungwa.

Hata hapa JF zilikuja mada za kushauri walimu wakatwe mishara katika kipindi hiki, laniki ashukuriwe Mungu kwa Rais kuliona hili na kuwajali watumishi wa Umma katika kipindi hiki kigumu.

Kwa hili Rais wangu nakupongeza umefanya maamuzi mazuri kwa kulinda masilahi na maisha ya watumishi.
 
Hatukuwa na hofu ya kukatwa mshahara kwani hatuna hatia... Tulikuwa tunahitaji kuongezewa mshahara bada ya kimya chote Cha utawala wake na Kama ilivyokuwa ahadi ya mwakajana lakini sicho alichofanya. Maisha yamekuwa hopless na tunatazama Kama Ni mtu asiye tujali
 
Hatukuwa na hofu ya kukatwa mshahara kwani hatuna hatia... Tulikuwa tunahitaji kuongezewa mshahara bada ya kimya chote Cha utawala wake na Kama ilivyokuwa ahadi ya mwakajana lakini sicho alichofanya. Maisha yamekuwa hopless na tunatazama Kama Ni mtu asiye tujali
Unataka kuongezewa mshahara kipindi kama hiki.
 
Mkuu kipindi kama hiki uongezewe mshahara kwa makusanyo yapi? Shughuli nyingi za uzalishaji zimesimama,mapato toka vyanzo mbali mbali yameyumba

Utalii umeyumba,mauzo ya dhahabu Nayo yameyumba,tumpe muda mheshimiwa anayo nia ya dhati ,atatuongeza tu.kwa sasa khali ni duni sana kwa mataifa yote ulimwenguni.
Hatukuwa na hofu ya kukatwa mshahara kwani hatuna hatia... Tulikuwa tunahitaji kuongezewa mshahara bada ya kimya chote Cha utawala wake na Kama ilivyokuwa ahadi ya mwakajana lakini sicho alichofanya. Maisha yamekuwa hopless na tunatazama Kama Ni mtu asiye tujali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kipindi kama hiki uongezewe mshahara kwa makusanyo yapi? Shughuli nyingi za uzalishaji zimesimama,mapato toka vyanzo mbali mbali yameyumba

Utalii umeyumba,mauzo ya dhahabu Nayo yameyumba,tumpe muda mheshimiwa anayo nia ya dhati ,atatuongeza tu.kwa sasa khali ni duni sana kwa mataifa yote ulimwenguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia site za kimataifa uone Ghana wanachofanya
 
Nampongeza Mh.Raisi kwa uamuzi huu wenye misingi ya utu.
 
Mkuu kipindi kama hiki uongezewe mshahara kwa makusanyo yapi? Shughuli nyingi za uzalishaji zimesimama,mapato toka vyanzo mbali mbali yameyumba

Utalii umeyumba,mauzo ya dhahabu Nayo yameyumba,tumpe muda mheshimiwa anayo nia ya dhati ,atatuongeza tu.kwa sasa khali ni duni sana kwa mataifa yote ulimwenguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatokuelewa kabisa mkuu zaidi sana atakuita Lumumba ndo atakachofanya kama hato ona aibu.
 
Na huo wakat uliopta nn kilimshinda?kifup pumz imekata
Mkuu kipindi kama hiki uongezewe mshahara kwa makusanyo yapi? Shughuli nyingi za uzalishaji zimesimama,mapato toka vyanzo mbali mbali yameyumba

Utalii umeyumba,mauzo ya dhahabu Nayo yameyumba,tumpe muda mheshimiwa anayo nia ya dhati ,atatuongeza tu.kwa sasa khali ni duni sana kwa mataifa yote ulimwenguni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kipindi kama hiki uongezewe mshahara kwa makusanyo yapi? Shughuli nyingi za uzalishaji zimesimama,mapato toka vyanzo mbali mbali yameyumba

Utalii umeyumba,mauzo ya dhahabu Nayo yameyumba,tumpe muda mheshimiwa anayo nia ya dhati ,atatuongeza tu.kwa sasa khali ni duni sana kwa mataifa yote ulimwenguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu bado hajui kama shughuli kadhaa za uzalishaji zimesimama.
Tz hiihii wengine wanaishi gizani sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pongeza serikali zote duniani. Hakuna seikali hata moja duniani imesitisha kulipa mishahara kwa ajili ya corona. Kwa hiyo ni kitu cha kawaida sana.
Ukiacha mambo mengine aliyo yazungumzia mh Rais Jana kwenye hotuba yake jambo la kutia faraja kwa watumishi wa Umma ni hili. Kwamba watendelea kuwalipa mishahara kama ilivyo kawaida na haita punguzwa.

Hili limewatoa hofu watumishi wengi walio kuwa na hofu ya kusitishiwa mishahara yao kwasababu ya Janga la Covid-19.

Waalimu walikuwa kwenye hatari zaidi hasa ukizingatia wao hawapo kazini kwasasa kutokana shule kufungwa.

Hata hapa JF zilikuja mada za kushauri walimu wakatwe mishara katika kipindi hiki, laniki ashukuriwe Mungu kwa Rais kuliona hili na kuwajali watumishi wa Umma katika kipindi hiki kigumu.

Kwa hili Rais wangu nakupongeza umefanya maamuzi mazuri kwa kulinda masilahi na maisha ya watumishi.
 
Pongeza serikali zote duniani. Hakuna seikali hata moja duniani imesitisha kulipa mishahara kwa ajili ya corona.
Mkuu Mimi napongeza hii ya kwangu ninayo iona hizo nyingine raia wao wapo watapongeza, au labda kama hutaki nipongeze basi useme mkuu mana hizo nchi nyingine mimi hazinihusu.
 
Wee kweli ni demu. Huo ni wajibu wa kawaida wa serikali inayokusanya kodi kutoka kwa raia wake. Hakuna la ajabu hapo. It is not a favour to government employees. Kusifia, kusifia... Ili mpewe vyeo. Mnasifia hata yasiyosifiwa. Mpenda sifa naye sasa anajulika kwa wapenda vyeo.
Mkuu Mimi napongeza hii ya kwangu ninayo iona hizo nyingine raia wao wapo watapongeza, au labda kama hutaki nipongeze basi useme mkuu mana hizo nchi nyingine mimi hazinihusu.
 
Ukiacha mambo mengine aliyo yazungumzia mh Rais Jana kwenye hotuba yake jambo la kutia faraja kwa watumishi wa Umma ni hili. Kwamba watendelea kuwalipa mishahara kama ilivyo kawaida na haita punguzwa.

Hili limewatoa hofu watumishi wengi walio kuwa na hofu ya kusitishiwa mishahara yao kwasababu ya Janga la Covid-19.

Waalimu walikuwa kwenye hatari zaidi hasa ukizingatia wao hawapo kazini kwasasa kutokana shule kufungwa.

Hata hapa JF zilikuja mada za kushauri walimu wakatwe mishara katika kipindi hiki, laniki ashukuriwe Mungu kwa Rais kuliona hili na kuwajali watumishi wa Umma katika kipindi hiki kigumu.

Kwa hili Rais wangu nakupongeza umefanya maamuzi mazuri kwa kulinda masilahi na maisha ya watumishi.

Hivi Walimu waliokuwa katika Mashaka makubwa ni wale wa Serikali ( Shule za Umma ) au ni wale wa Shule Binafsi tu pekee?
 
Pumzi haijakata mkuu, hatuwezi kumtukana mpishi jua halijafika machweo,tumpe muda hakika hamtaamini,lakini kumbuka kuwa Magufuli ni foresighted leader, hii hali ya ugumu wa maisha aliiona kabla ndio maana alista kuongeza mishahara kwa watumishi na alibana pia matumizi yasio tiza ili pesa hizo zitumike kwa hali ngumu kama hii
Na huo wakat uliopta nn kilimshinda?kifup pumz imekata

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom