Rais Magufuli: Hatutasitisha mishahara ya watumishi wa Umma kwa sababu ya COVID-19

Rais Magufuli: Hatutasitisha mishahara ya watumishi wa Umma kwa sababu ya COVID-19

kwangu ya sasa ni botra wakati kabla ya 2015 nilipandihswa lakini silipwi msahara mpaya ina baki madeni.Madeni yeneyewe yakupandishwa madaraja ya 2013 na 2015 nimelipwa na huyu mh 2017

kabla ya 2015 ilikuwaje?
 
Yani kuna Mwalimu alikuwa na wasi wasi kuwa mishahara itasitishwa?
MATAGA mnatuonaje yaani.

Juzi boss wenu kapima papai. Yaani kipimo cha damu /mucus wewe unakiweka maji ya mmea.
Leo mataga mnakuja kutuongopea hapa.

Pumbavu
Sawa na alie pewa hilo papai akalipima nae ni nani sasa, mtaalam gani unapewa papai na wewe unapima??

Alafu kipimo kinacho soma DNA/RNA kinatoaje mmea positive/negative?
 
msitishe mishahara ya watumishi kwani kodi mmesitisha kukusanya?

acheni kutoa uharo kupitia vinywani mwenu... uharo njia yake iko masaburini!!
Siku nyingine usiwe unakurupuka mkuu.
 
Mpumbavu wewe. Kwahyo alijua 2020 tukakuwa na koroma. Mshezi mkubwa wewe. Nakuombea upitiwe na korona wewe na familia yako mbuzi jike wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ukichangia bila kutukana utakuwa hueleweki mkuu, au matusi ni dalili ya kuwa na akili nyingi zilizozidi viwango.
 
Ukiacha mambo mengine aliyo yazungumzia mh Rais Jana kwenye hotuba yake jambo la kutia faraja kwa watumishi wa Umma ni hili. Kwamba watendelea kuwalipa mishahara kama ilivyo kawaida na haita punguzwa.

Hili limewatoa hofu watumishi wengi walio kuwa na hofu ya kusitishiwa mishahara yao kwasababu ya Janga la Covid-19.

Waalimu walikuwa kwenye hatari zaidi hasa ukizingatia wao hawapo kazini kwasasa kutokana shule kufungwa.

Hata hapa JF zilikuja mada za kushauri walimu wakatwe mishara katika kipindi hiki, laniki ashukuriwe Mungu kwa Rais kuliona hili na kuwajali watumishi wa Umma katika kipindi hiki kigumu.

Kwa hili Rais wangu nakupongeza umefanya maamuzi mazuri kwa kulinda masilahi na maisha ya watumishi.

That has torn it. Sasa anzeni kujiandaa kisaikolojia, it said the devil is in the details. Wenye akili wamegundua kuwa kauli hiyo ni admission kuwa serikali haina fedha na watumishi kupunguziwa mishahara ni every strong possibility bordering certainty.
 
KUMBUKENI NCHINI RWANDA WALIKATWA NUSU MSHAHARA KUGARIMIA KORONA
Hilo halijui mkuu na hataki kulijua hata ukimwambia hatotaka kukuelewa
 
JE KWATANZANIA KAMA ANGETOA UNAFUU WA KODI LAKINI AKAKATA NUSU MISHAHARA YA WAFANYAKAZI WOTE KWA MDA WA MWEZI MZIMA JE WAFANYAKAZI WANGEKUBALI?
Subutu, pasinge kalika humu mkuu hivi unawajua vizuri watanzania lakini hasa hawa wanao jiita wana harakati?
 
That has torn it. Sasa anzeni kujiandaa kisaikolojia, it said the devil is in the details. Wenye akili wamegundua kuwa kauli hiyo ni admission kuwa serikali haina fedha na watumishi kupunguziwa mishahara ni every strong possibility bordering certainty.
Tatizo wenye akili wa humu wanatia mashaka kuwasikiliza
 
JAMANI TUWE WAKWELI MISHAHARA IMEKUWA IKONGEZWA ILA SIYO KWA MFUMO WA INFLATION BALI KWA MFUMO WA KUPANDA MADARAJA. KWA MFANO MIMI MSHSHARA WANGU WAKATI MKULU ANAINGIA ILIKUWA NI SH 1.4 MILLION tSH LAKINI HADI SASA NIMEFIKA SH 1.8 MILLION. SASA INATAKIWA TUWE WAKWELI KUSEMA KAMA TUNATAKA KUONGEZWA KWA MFUMO WA INFLATION AU WAKUPANDA MADARAJA?
Kaa kimya..... Tena kimya
 
Back
Top Bottom