Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Hivi anaefaidika na Bei kubwa ni mkulima au mlanguzi.., mlanguzi ananunua mahindi yakitoka tu kwa bei ndogo kwa mkulima anayaweka bei zipande by the time bei ipo kwenye peak mkulima hana hata mbegu za kupanda...
Umesema kweli tupuHahaweka ofisi kila wilaya kwa kuwa hajapewa bajeti. Huu ndo ukweli kwa hio tusimlaumu. Inatakiwa kila wilayaniwe na dawati la NIDA.
utavumilia bei ipande wakati hauna chakula, mwanao hajapata mkopo na hauna Bima.., unamuongelea mkulima gani..., wazee wa kila Kalumekenge au mtoto wa Mkulima Pinda.. ? Na huko sokoni anapeleka huo mzigo bure, au anapakia kwenye baiskeli ?kwa wakulima wenye kuvumilia bei ipande huwa wanafaidika pia.
Na wako wakulima wanapeleka wenyewe sokoni.
utavumilia bei ipande wakati hauna chakula, mwanao hajapata mkopo na hauna Bima.., unamuongelea mkulima gani..., wazee wa kila Kalumekenge au mtoto wa Mkulima Pinda.. ? Na huko sokoni anapeleka huo mzigo bure, au anapakia kwenye baiskeli ?
Let be realistic for a change.....
instead ya kuendelea kumnufaisha mlanguzi kunapofanyika sasa hivi, kwenye high demand na bei ndogo serikali inunue na kuweka kwenye maghala.., kwenye supply ndogo na demand kubwa ifungue maghala na kumwaga mzigo sokoni..., thus kuongeza supply...mkuu unaongelea kuwa realistic bila kutoa pendekezo lanini kifanyike.
Pia usisahau wakulima wana stages.
instead ya kuendelea kumnufaisha mlanguzi kunapofanyika sasa hivi, kwenye high demand na bei ndogo serikali inunue na kuweka kwenye maghala.., kwenye supply ndogo na demand kubwa ifungue maghala na kumwaga mzigo sokoni..., thus kuongeza supply...
Na hizi ni ngonjera ingekuwa bottom line ni mkulima mambo yakiwa magumu msingewakata kuuza mali zao mfano, kahawa kwa waganda au mahindi na bidhaa nyingine kwa yoyote anayekuja..., when push comes to shove utasikia mipaka imefungwa hakuna kuuza nje
Ndio maana Kuna uhamiajiHivyo ni visingizio nivigumu prove uraia wa mtu wakati vyeti vyakuzaliwa vilianza kutolewa miaka ya 2000 tu....jiulize kwanini Kenya Rwanda Uganda wameweza kutowa vitambulisho haraka, na sio sisi kwani wahamiaji haramu wako Tanzania sio nchi zingine naona hiyo imekua njia ya kupinga pesa kwa raia kati ya 20000 na 10000 inatumika kukamirisha huo mchakato wa kupata cheti.