Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
kwa wakulima wenye kuvumilia bei ipande huwa wanafaidika pia.
Na wako wakulima wanapeleka wenyewe sokoni.
Na wako wakulima wanapeleka wenyewe sokoni.
Hivi anaefaidika na Bei kubwa ni mkulima au mlanguzi.., mlanguzi ananunua mahindi yakitoka tu kwa bei ndogo kwa mkulima anayaweka bei zipande by the time bei ipo kwenye peak mkulima hana hata mbegu za kupanda...