Rais Magufuli huhitaji kujieleza unapomtoa Waziri. Kwa January Makamba jikalie kimya

January katolewa kwa uhaini brother. Kuna vitu siyo vya kuongea every where. Just know hata wewe uliposaliti Chadema walikutoa pamoja na mazuri yote. Kumbuka tu msaliti ni zaidi ya mchawi.


Januari ni msaliti
 
Sijamsikia popote Rais Magufuli akitaja sababu za kumtumbua January. Ni kama vile unamlisha maneno!
Mbona kasema waziwazi, kwamba Makamba alishindwa kusimamia swala la mifuko mpk yy rais alivyoingilia kati. Na kaenda mbele zaidi kwa kumtaka aliyempa hii nafasi asifanye kama January achape kazi.
 
January katolewa kwa uhaini brother. Kuna vitu siyo vya kuongea every where. Just know hata wewe uliposaliti Chadema walikutoa pamoja na mazuri yote. Kumbuka tu msaliti ni zaidi ya mchawi.


Januari ni msaliti
Uhaini!!!
Kijana taratibu,fafanua uhaini according na constitution yetu
 
January ametenguliwa ili kumkomoa mzee makamba baba yake, kwasababu ya voice iliyasambaa, wala sababu siyo mifuko, kama ilikuwa mifuko angemtengua toka zamani tunavyomfahamu magufuli huwa hacheleweshi.
 
Mkuu hao wamezoea "kuambiwa" hivyo hawawezi kuona wasichoambiwa!!!
 
we zitto mbona kimbelembele kama ni kipenzi chako si umchukue sasa hivi umekuwa mtu wa kulalamikia kila jambo linalofanywa na chama tawala badala ya wewe kuonyesha mawazo mbadala huo ni ufilisi wa akili
 
Magufuli anataka kusema ucheleweshwaji wa azimio la kupiga marufuku mifuko ya plastic kwa more than 4 years ni kosa la January Makamba peke yake? Hizi lawama za kindezi sana. Yeye kama Rais alifanyaje kusort out the mess?
Alikuwa anamcheki tu halafu anasema hiiiiii
 
Bangi za kuvuta bila malengo 😂 😵😵
 
Akili kubwaaaaa
 
January katolewa kwa uhaini brother. Kuna vitu siyo vya kuongea every where. Just know hata wewe uliposaliti Chadema walikutoa pamoja na mazuri yote. Kumbuka tu msaliti ni zaidi ya mchawi.


Januari ni msaliti

Usaliti!? Uhaini!?
 
Vijana mtanipinga sana ila nawaambia ni rahisi sana kua maarufu kwa harakati za maneno ya kukosoa siasa au serikali za Africa sababu matatizo ni mengi.....ila ngumu sana kua maarufu kwa namna za kina Ruge,Mengi, Mo, bakhresa, Kusaga...na Hawa ndio hubadili maisha ya vijana wengi.

Nasimama na Dr John
 
Makamba yupo vizuri hao jamaa wa NEMC walikua kikwazo sana kwenye viwanda na faini za hovyo hovyo na mambo mengi ya ajabu ajabu sema ndio hivyo kufanya kazi na watu wasiotaka maendeleo wanataka siasa hawawezi kukuelewa kabisa...kama Makamba hafai hakuna anaefaa huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…