Rais Magufuli, jitokeze hadharani kupinga kufananishwa na Yesu Kristo!

Rais Magufuli, jitokeze hadharani kupinga kufananishwa na Yesu Kristo!

Kwani sio kweli?., Magufuli ni mungu wao MaCCM, yanajua anapenda kuabudiwa, na yanamuadu na kumsujudia, hili la kumuita YESU ni MOJA ya ibada Lumumba:
Ibada zingine ni mtukufu dokta John Josefu Pombe Magufuli Kiongozi wa malaika. Muweza wa yote na asieshindwa kwa lolote.
Hakuna kama Magufuli na haijawahi kutokea awe rais wa dunia.

Kupatwa kwa Tanganyika., pole yetu.
 
yesu wa Lugola aliikimbia corona
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yesu huyu ni muoga kichizi...Ila mkuu maisha ya dunia plus cheo alichonacho ni matamu lazima ajikimbishe ili apate kutafuna mema ya nchi......Kiranja wa malaika mbingu. Yaani jamaa ana utitiri wa vyeo
 
Kwani sio kweli?., Magufuli ni mungu wao MaCCM, yanajua anapenda kuabudiwa, na yanamuadu na kumsujudia, hili la kumuita YESU ni MOJA ya ibada Lumumba:
Ibada zingine ni mtukufu dokta John Josefu Pombe Magufuli Kiongozi wa malaika. Muweza wa yote na asieshindwa kwa lolote.
Hakuna kama Magufuli na haijawahi kutokea awe rais wa dunia.

Kupatwa kwa Tanganyika., pole yetu.
Dah!!
 
Hapo vipi!

Binafsi nimemsikiliza Kangi Lugola akiwa anamsifia Rais Magufuli, ila kwa hili la kumfananisha Rais Magufuli kama Yesu Kristo amevuka mipaka kabisa, sijajua kinachomfanya ajisahau kiasi hicho nini.

Mheshimiwa Rais, sipingi watanzanaia kukusifia katika mambo uliyoyafanya ila wakusifie katika viwango vya kibiinadamu ila kwa hili la Kangi Lugola, kukufananisha na Yesu kristo nakushauri hizo sifa usipokee.

Kumbuka maandiko yanasema Mungu hafananishi na kitu chochote,hivyo ukikubali kufananisha na Yesu Kristo utakuwa umetenda zambi kubwa kufuru.

Kwanini nakuambia usimame na upinge hadharani,kwanza kukaa kimya maana yake umekubaliana na hayo madai,sasa ili kunawa mikono yako na kumuachia Kangi mzigo wake, Jitokeze pinga na kukataa sifa hizo.

Mheshimiwa Rais, kumbuka juzi tulitoka kwenye maombi ya kitaifa na ni kweli Mungu ametenda ila sasa Shetani anamtumia Kangi Lugola kuleta laana katika taifa hili.

Naomba umuonye na atumie akili,busara na hekima wakati anaanza kukusifia.
Yaani umtume zwazwa mmoja akupaishe halafu umkane hadharani?
 
Mleta hoja hivi kangi ukimsikiliza mara moja hutakaa umsikilize tena! Ili asikukwaze mdharau tu na endelea na mengine.
 
hawezi kujitokeza kwa sababu atakuwa anapingana na ‘manabii wa uongo’ wanaohubiri ametoka kwa mungu.
 
Si ampe tu Uwaziri jamani, watu wanashindwa kuishi kwenye hadhi nyingine, wamezoea kuheshimiwa.
Ampe tu kama alivyo mpa Bashe. Anateseka mwenzake
 
Back
Top Bottom