Rais Magufuli, jitokeze hadharani kupinga kufananishwa na Yesu Kristo!

Kwani sio kweli?., Magufuli ni mungu wao MaCCM, yanajua anapenda kuabudiwa, na yanamuadu na kumsujudia, hili la kumuita YESU ni MOJA ya ibada Lumumba:
Ibada zingine ni mtukufu dokta John Josefu Pombe Magufuli Kiongozi wa malaika. Muweza wa yote na asieshindwa kwa lolote.
Hakuna kama Magufuli na haijawahi kutokea awe rais wa dunia.

Kupatwa kwa Tanganyika., pole yetu.
 
yesu wa Lugola aliikimbia corona
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yesu huyu ni muoga kichizi...Ila mkuu maisha ya dunia plus cheo alichonacho ni matamu lazima ajikimbishe ili apate kutafuna mema ya nchi......Kiranja wa malaika mbingu. Yaani jamaa ana utitiri wa vyeo
 
Dah!!
 
Yaani umtume zwazwa mmoja akupaishe halafu umkane hadharani?
 
Mleta hoja hivi kangi ukimsikiliza mara moja hutakaa umsikilize tena! Ili asikukwaze mdharau tu na endelea na mengine.
 
hawezi kujitokeza kwa sababu atakuwa anapingana na ‘manabii wa uongo’ wanaohubiri ametoka kwa mungu.
 
Si ampe tu Uwaziri jamani, watu wanashindwa kuishi kwenye hadhi nyingine, wamezoea kuheshimiwa.
Ampe tu kama alivyo mpa Bashe. Anateseka mwenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…