Tetesi: Rais Magufuli Kufanya Ziara Mkoani Kilimanjaro

Tetesi: Rais Magufuli Kufanya Ziara Mkoani Kilimanjaro

Ingelikuwa jambo la busara kama JPM angetangaza kuziunganisha wilaya ya Hai na Siha. Hizi wilaya mbili kimaeneo ni ndogo sana na hakuna sababu za msingi ziwe wilaya mbili. Huu mgawanyo ulifanyika kwa maslahi binafsi, period.
Ilikua ni Wilaya moja kabla,wilaya ya Hai. Baadae Mh Aggrey Mwanri alipigania Siha ikafanywa kama wilaya ya peke yake mwaka 2007. Ina ukubwa wa kilometa za mrana 1158 huku Hai ikiwa na ukubwa wa kilometa za Mraba 1011. Unapozungumzia Siha na Hai kama Wilaya ndogo unajidanganya tu kwa sababu,majuzi Rais alitangaza wilaya nyingine mbili za mkoa wa Dar es Salaam! Kigamboni na Ubungo (wilaya nyinginezo za mikoa tofauti pia zilitajwa)

Je unataka kutuaminisha kuwa hizo Wilaya ni kubwa kieneo kulinganisha na Siha na Hai?
 
Mkuu usipotoshe watu, sisi tunapinga kuchezea sheria na katiba kwa kukandamiza demokrasia, kutatua kero za wananchi na ufisadi tunamuunga mkono
Kweli yaani hapo kwenye kubinya uhuru wa kidemokrasia ndipo anaharibu kabisa cv yake anakuwa kama mtu aliyepika supuu safi sasa badala ya kuanza kuigawa watu wanywe yeye anatia tena nazi. Yaani hapo haiwi supu tena ila inakuwa ni mchuzi!
 
Ziara inaanza lini??? 1st Sept?? Karibu Rais wetu Kilimanjaro.
 
Tetesi, unataka tujali nini sasa! bora ungetoa taarifa ya hiyo tetesi yako bila kutaja mambo ambayo unatarajia aidha kwa namna moja au nyingine ungependa yaguswe ktk tetesi yako! Any way, ahsante kwa tetesi hiyo!
Sasa ume comment nini?
 
Mkuu hebu tuliza kichwa na unambie ni lini Rais kafanya jambo la kimaendeleo alafu ukasikia Mtu anasema ni Dictator? Nadhani upande wa Upinzani wanamuita Dikteta kwa sababu ya kuzuiwa mikutano ya vyama vya Siasa. Siyo kwa sababu nyingine.
Na hili watu hawalizungumzii hata kidogoo,udikteta unaozungumzwa ni yeye tu kujiona ndo mwenye haki ya kufanya mikutano kokote anakotakaa,ila kwa wengine muhali.
 
Ofisi ya Raisi si ofisi ya kutoa hukumu hadharani kwa mashauri ambayo taratibu za kisheria zinaendelea. Kama kuna Kiongozi anatuhumiwa kwa ufisadi wa fedha za umma mahakama ipo na baada ya kutoa hukumu ofisi inaweza kuchukua hatua za kinidhamu. Pia tatizo la mikataba ya ukodishwaji wa ardhi ni tatizo la kimfumo na wakati taratibu za ukodishaji zinafanyika hatua zote zilipitiwa kama kuna dosari zitabainishwa na wataalamu wa sheria na kuwekwa hadharani si kazi ya raisi kwenda kutoa value judgement kwenye mikutano ya hadhara
Kwa nyakati tulizonazo kila kitu kinawezekana
 
Umechangia shlng ngapi ktk kuanzisha viwanda au mchango wako ni upi ktk kuanzishwa viwanda?
Umechangia shlng ngapi ktk kuanzisha viwanda au mchango wako ni upi ktk kuanzishwa viwanda?
Umechangia shlng ngapi ktk kuanzisha viwanda au mchango wako ni upi ktk kuanzishwa viwanda?
Tunalipa kodi kwa kila kitu tukitumiacho kasoro pumzi tu.
Alipokuwa anajinadi alitangaza Tanzania yenye viwanda, vitakavyo jengwa na serikali ya magufuri, sio kwa wananchi kuchangishwa.
Use you brain kabla haujauliza swali, utachekwa kijana, you better think beyond your nose.
 
Ofisi ya Raisi si ofisi ya kutoa hukumu hadharani kwa mashauri ambayo taratibu za kisheria zinaendelea. Kama kuna Kiongozi anatuhumiwa kwa ufisadi wa fedha za umma mahakama ipo na baada ya kutoa hukumu ofisi inaweza kuchukua hatua za kinidhamu. Pia tatizo la mikataba ya ukodishwaji wa ardhi ni tatizo la kimfumo na wakati taratibu za ukodishaji zinafanyika hatua zote zilipitiwa kama kuna dosari zitabainishwa na wataalamu wa sheria na kuwekwa hadharani si kazi ya raisi kwenda kutoa value judgement kwenye mikutano ya hadhara
Ni kweli,ila inaonesha wakati mzee Kabwe akipitia kwenye michakato hiyo uloitaja hapo juu wewe ulikuwa bado upo shule unasoma
 
Anyway japo siyo taarifa Rasmi ila endapo atafanya Ziara niza nini hasa maana anatumia gharama nyingi sana ujue na ni kodi zetu???????
Anakwenda kukagua utekelezaji wa Miradi au na kama nikukagua Miradi kuna Mawaziri na wengine aliyewapa dhamana....yeye afanye mabo ya Kitaifa na Kimatifa kwa ushauri wangu.
TUnataka ahudhurie pia mikuatano ya Viongozi wenzake wa Afrika na mialiko yenye TIJA KWA TAIFA TU na siyo kama Mzee wa Msogo kule Jamaika kwenye bembea n.k NOT


Kwa nini usishinde kwanza uchaguzi na chadema wenzako ili muhudhurie hiyo mialiko?
 
Back
Top Bottom