Tetesi: Rais Magufuli kufuta ubunge viti maalum, ni kwa kurejesha mapendekezo ya tume ya Jaji Warioba

Tetesi: Rais Magufuli kufuta ubunge viti maalum, ni kwa kurejesha mapendekezo ya tume ya Jaji Warioba

Haya maneno hayajasemwa na selikali. Acheni kuilisha maneno selikali.
 
Haya maneno hayajasemwa na selikali. Acheni kuilisha maneno selikali.
huwa wanapost vitu kama hivyo kupindisha focus ya hoja muhimu kwa muda husika. Sasa tulikuwa na hoja moto JESCA KAFIKAJE UDOM na Div4 wakati vilaza wenzake wamefukuzwa, wanaleta hizi tutoke kule.
 
Vipi ziara za kustukiza zimeshafutwa?
 
Hahahahahaaaaaa! Unatafuta ugomvi na viti maalum wewe. Bunge halitakalika

Kwa sababu wanaamini wako juu ya katiba baada ya katiba kuwaweka? Sasa katiba iliyowapa viti hivyo na wakawa wabunge, itawaondoa na kuwafanay wasiwepo. Hawana kazi zaidi ya upuuzi tu na hasra kwa taifa.
 
CCM haitaweza kusavaiv bila wapiga meza. Wabunge wa majimbo wanaogopa kuongea pumba kwa kuwa wapinzani wanawaweka roho juu majimboni, kwa hiyo kazi ya kupitisha hoja mfu hupewa kina 'bwerere' sasa wasipokuwepo kuna ubwete tena?
 
Back
Top Bottom