Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Endelea kuota hakuna kitu kama hichona Magufuli akitangaza kuwa ni ruksa,we utafanya nini?
Leo ndio ataijua katiba?? Katiba itamfata yeye , chezea mtakatifu ww!!Urais ni suala la katiba na kisheria hawezi kutoa tamko bila kubadilisha katiba na sheria kwanza.
Anatamka hivi sababu yeye ana asili ya nchi jiraniUraia ni suala la katiba na kisheria hawezi kutoa tamko bila kubadilisha katiba na sheria kwanza.
Anatamka hivi sababu yeye ana asili ya nchi jirani
Nyani Ngabu atarudi bongo for good
Uraia ni suala la katiba na kisheria hawezi kutoa tamko bila kubadilisha katiba na sheria kwanza.
I never left it to begin with.
My ties and roots run deep.
Deeper than many people can imagine.
Huu mjadala ulishafungwa, hamna masual ya dual citizenship! The issue is dead and buried.
Kama ni kweli siku hiyo nitakunywa ulanzi debe zima