Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Kufuta mikutano ya kisiasa ambayo ipo kikatiba ilihitaji kubadilisha sheria na katiba?Uraia ni suala la katiba na kisheria hawezi kutoa tamko bila kubadilisha katiba na sheria kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufuta mikutano ya kisiasa ambayo ipo kikatiba ilihitaji kubadilisha sheria na katiba?Uraia ni suala la katiba na kisheria hawezi kutoa tamko bila kubadilisha katiba na sheria kwanza.
Kwani mikutano ya kisiasa si ipo kikatiba na imekuwa provided kwenye sheria inayohusu mambo vyama vya siasa na siasa kwa ujumla?Mleta mada unaota.Uraia pacha Tanzania sahau.Tena sahau kabisa.Watu wenye uraia pacha ndio waliopindua nchi zote za kiarabu kwenye yale mapinduzi yanayoitwa Arab springs.Kuanzia Libya,TUnisia,misri,Iraq nk kote.Hata mapinduzi ya Irani ya akina Ayatolah yaliongozwa na watu wenye uraia pacha.Ukienda Uganda ,rwanda,Congo,Burundi,ghana,liberia,nigeria kote huko waliopindua serikali ni watu wenye uraia pacha.Walikuwa na uraia wa nchi zingine wakajiunga huko walikokuwa nchi zao ziliporuhusu wakajiunga na wakoloni baba zao kwennda kupindua hizo nchi.Sehemu kubwa ya Afrika hakuna success story ya watu wenye uraia wa nchi mbili.
Uraia wa nchi mbili kuruhusiwa ni hadi bunge lipitishe sio swala la raisi kutangaza kama hujui.
Hilo la uraia wa nchi mbili Zanzibar mnalipigia debe mnataka yule sultani wa Zanzibar na vizazi vyao vilivyoko Oman vilivyopinduliwa warudi Zanzibar kama kizazi cha mfalme wa Libya KILICHOPINDULIWA na Gadafi kilivyorudi Libya na kuirudisha bendera ya mfalme wa Libya na kuiondoa bendera ya akina Gadafi?
Kampeni yenu ya uraia wa nchi mbili sahauni sio kipau mbele cha nchi yetu kwa sasa kwenye HAPA kazi tu
Kakopi sehemu huyo [emoji23] kuna wafuasi wa vyama vyetu vya SIASA WANATIA KINYAA KWAKWELI!Sijibu ulichoandika ila ninataka kusema umemishangaza sana na uchambuzi wako usio na mashiko. This is the best nonsensical argument for 2016!
Kwani uwepo wa vyama vya siasa na kufanya mikutano ana amua rais Magufuli ama Bunge?Kwani uamuzi wa uraia pacha linaamua bunge au rais Magufuli.?
Tamko la kuzuia mikutano ya kisiasa ambayo ipo kikatiba alibadilisha kupitia Bunge lipi? [emoji12]Leo ndio ataijua katiba?? Katiba itamfata yeye , chezea mtakatifu ww!!
Uraia ni suala la katiba na kisheria hawezi kutoa tamko bila kubadilisha katiba na sheria kwanza.
Linaamua bunge.masuala haya yanahusisha mambo ya kisheria. Rais anakurupuka tu.Kwani uwepo wa vyama vya siasa na kufanya mikutano ana amua rais Magufuli ama Bunge?
Uraia ni suala la katiba na kisheria hawezi kutoa tamko bila kubadilisha katiba na sheria kwanza.
Mleta mada unaota.Uraia pacha Tanzania sahau.Tena sahau kabisa.Watu wenye uraia pacha ndio waliopindua nchi zote za kiarabu kwenye yale mapinduzi yanayoitwa Arab springs.Kuanzia Libya,TUnisia,misri,Iraq nk kote.Hata mapinduzi ya Irani ya akina Ayatolah yaliongozwa na watu wenye uraia pacha.Ukienda Uganda ,rwanda,Congo,Burundi,ghana,liberia,nigeria kote huko waliopindua serikali ni watu wenye uraia pacha.Walikuwa na uraia wa nchi zingine wakajiunga huko walikokuwa nchi zao ziliporuhusu wakajiunga na wakoloni baba zao kwennda kupindua hizo nchi.Sehemu kubwa ya Afrika hakuna success story ya watu wenye uraia wa nchi mbili.
Uraia wa nchi mbili kuruhusiwa ni hadi bunge lipitishe sio swala la raisi kutangaza kama hujui.
Hilo la uraia wa nchi mbili Zanzibar mnalipigia debe mnataka yule sultani wa Zanzibar na vizazi vyao vilivyoko Oman vilivyopinduliwa warudi Zanzibar kama kizazi cha mfalme wa Libya KILICHOPINDULIWA na Gadafi kilivyorudi Libya na kuirudisha bendera ya mfalme wa Libya na kuiondoa bendera ya akina Gadafi?
Kampeni yenu ya uraia wa nchi mbili sahauni sio kipau mbele cha nchi yetu kwa sasa kwenye HAPA kazi tu
KIAZI at its best! Ninamashaka sana na uelewa wako kiasi siamini hata unaweza kutumia keyboard. Labda umeandikiwa. Umeshapewa Mifano ya nchi zenye uraia pacha na kuonyeshwa jinsi nchi hizo zinanufaika lakini bado unakuja hapa na kuandika ujinga. By the way, unajua maana ya www unayoiona kwenye internet? Ina maana hii- World Wide Web. Hivyo huhitaji diaspora kuja Tz kuleta hizo tabia unazosema. Internet inatosha na Kama unayo nyumbani hiyo ndiyo inatakiwa upambane nayo na sio diaspora. Umenielewa?Tanzania itajengwa na Watanzania.... Nyie Diaspora mkae huko huko... Mmeikimbia Tanzania mnataka uraia wanini tena??
Kwani nyie mnachangia kutuletea tabia za ajabu ajabu... Mpigwe marufuku hata ardhi ya Tanzania msifiki mkiwa hai ama mmekufa..
Mleta mada unaota.Uraia pacha Tanzania sahau.Tena sahau kabisa.Watu wenye uraia pacha ndio waliopindua nchi zote za kiarabu kwenye yale mapinduzi yanayoitwa Arab springs.Kuanzia Libya,TUnisia,misri,Iraq nk kote.Hata mapinduzi ya Irani ya akina Ayatolah yaliongozwa na watu wenye uraia pacha.Ukienda Uganda ,rwanda,Congo,Burundi,ghana,liberia,nigeria kote huko waliopindua serikali ni watu wenye uraia pacha.Walikuwa na uraia wa nchi zingine wakajiunga huko walikokuwa nchi zao ziliporuhusu wakajiunga na wakoloni baba zao kwennda kupindua hizo nchi.Sehemu kubwa ya Afrika hakuna success story ya watu wenye uraia wa nchi mbili.
Uraia wa nchi mbili kuruhusiwa ni hadi bunge lipitishe sio swala la raisi kutangaza kama hujui.
Hilo la uraia wa nchi mbili Zanzibar mnalipigia debe mnataka yule sultani wa Zanzibar na vizazi vyao vilivyoko Oman vilivyopinduliwa warudi Zanzibar kama kizazi cha mfalme wa Libya KILICHOPINDULIWA na Gadafi kilivyorudi Libya na kuirudisha bendera ya mfalme wa Libya na kuiondoa bendera ya akina Gadafi?
Kampeni yenu ya uraia wa nchi mbili sahauni sio kipau mbele cha nchi yetu kwa sasa kwenye HAPA kazi tu