Tegeta looo sijawahi ona soko chafu ka la tegeta hivi lile dambo sokoni hampati kipindupindu
Tegeta looo sijawahi ona soko chafu ka la tegeta hivi lile dambo sokoni hampati kipindupindu
hilo tatizo liko toka kipindi chadena wameshika jimboHuko tegeta hakuna mtendaji, diwani au mbunge wa ccm? Maana hao ndio waliiba kura kwa kujifanya wananchi wamewachagua kisa wao ni battery. Sasa battery hizijachanganywa na magunzi, mbona haziwaki
Halima alijenga/karabati nini?Marahaba kwa niaba. Nasi tunataka aje tegeta alipoomba sana kula aone uongo Wa gwajiboy barabara mbovu sana kuliko kipindi cha halima
Nireteeni gwajimaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Marahaba kwa niaba. Nasi tunataka aje tegeta alipoomba sana kula aone uongo Wa gwajiboy barabara mbovu sana kuliko kipindi cha halima