Rais Magufuli kutembelea Temeke zazua taharuki, barabara zaanza kutengenezwa usiku na mchana

Safi sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwl alijua Siri si bure
 
Mkurugenzi wa jiji safari hii asipoondoka akasali sana sana
 
Duhh mbona mimi Niko temeke na hizo taarifa za ziara ya JPM sina??
 

Hizi promo za kitoto sana,yaani fedha ziwepo,magari yapo halafu kazi zifanyike kisa Magufuli hajatembelea eneo husika ?.Ebu punguzeni promo za kitoto.
 
Rais wenu mpitisheni mitaa ya Temeke Sudan ajionee maajabu ya jiji la Makonda.
 
Kwani ukiwa DC unakuwa malaika ?
Ebu acheni ulimbukeni
 
Unalalamika nini endelea kupiga vigelegele , makofi kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu yesu wa CCM , mungu wa CCM na kijani kibichi , uchumi wa kati huku bado mnakwangua barabara halafu mnadai ndio mnatengeneza , nyinyi si ndio watetezi uchwara wa awamu hii endelea kupiga vigelegele .
 
Ndio maana mkuu wa Wilaya povu kama lote
 
Ndiyo tabia za watawala wetu wengi
 
Watendaji wa serikali wengi hawako makini
Hao watendaji wanapewa vifaa? budget inapitishwa hazina hawapeleki fedha unategemea watendaji watumie fedha zao wenyewe? hilo eneo kuna RC, RAS, RSO, DC, DAS, DSO, DED na Mwenyekiti wa council unadhani wao hawaoni hayo mambo?
 
Marahaba kwa niaba. Nasi tunataka aje tegeta alipoomba sana kula aone uongo Wa gwajiboy barabara mbovu sana kuliko kipindi cha halima
Hivi na wangapi amekwisha wapeleka marekani?!! ngoja anakuja mkulu
 
DC alijaribu kumstihahi kwa sababu anamfahamu lakini jamaa aliuwa hana adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…