Tetesi: Rais Magufuli 'kuutumbua' Mwenge wa Uhuru

Tetesi: Rais Magufuli 'kuutumbua' Mwenge wa Uhuru

Historia inafutwa namna hii?,ulileta heshima palipokuwepo na dharau,kwa heshima uhifadhiwe tu,je utaendelea kuwa alama ya Taifa na kuendelea kuwepo kwenye machapisho?.Historia itasema.
 
Ifike wakati tuanze kuulizana vyeti vya kuzaliwa maana wenzetu wengine uraia wenu unatia mashaka sana haya mwenge nao umekukosea nini; hivi umewahi kujiuliza sababu zake kwanza za kuanzisha mbio za mwenge au unadhani akina nyerere walikuwa hawana akili timamu. Watu tu wanaacha kuweka symbolism muhimu katika hizi ritual ndio maana wengine mnaleta madharau.
Mnufaika wa mbio za mwenge naona povu linakutoka.
 
Baada ya Rais John P. Magufuli kubadili na kuokoa fedha kwenye sherehe za Uhuru na Muungano,sasa Mwenge wa Uhuru uko njiani kutumbuliwa. Taarifa za kishushushu zinaonesha kuwa tayari Rais Magufuli ameitisha faili la Mwenge huo na kupata maelezo ya kutosha na kutisha kuhusu Mwenge huo.

Taarifa zinaonesha kuwa Rais Magufuli ameguswa na kutikiswa na matumizi makubwa yanayofanyika wakati wa mbio za Mwenge nchi nzima. Rais anapanga kutumbua Mwenge huo ambao sasa ni kero badala ya kuwa hero hapa nchini.

Wangapi wanaafiki bila unafiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Hilo sio jipu mkuu bali kwa madaktari hiyo kitu tunaita PYOMYOSITIS
 
upelekwe makumbusho tu. kipind cha nyuma walkuwa wanalazimisha walimu wachangie sh 2000, lskin kutokana na ukweli kwamba walimu waligoma kutoa hyo Pesa basi shule zilikuwa zinatoa kwa niaba ya walimu waliopo? sasa Elimu bure cjui watatoa wapi pesaa..
 
Thubutu yake JPM...ule uchawi uliowekwa mle ndani kwenye mwenge sio wa kawaida.
 
......Sisiiii tunataka kuwasha Mwenge.
...Tunataka kuwasha Mwenge....
...Na kuuweka juu ya mlima. Mlima Kilimanjaro.......

Kuwasha Mwenge x2
.....Na kuuweka Kilimanjaro!!!!!!!!!!!!....
 
Baada ya Rais John P. Magufuli kubadili na kuokoa fedha kwenye sherehe za Uhuru na Muungano,sasa Mwenge wa Uhuru uko njiani kutumbuliwa. Taarifa za kishushushu zinaonesha kuwa tayari Rais Magufuli ameitisha faili la Mwenge huo na kupata maelezo ya kutosha na kutisha kuhusu Mwenge huo.

Taarifa zinaonesha kuwa Rais Magufuli ameguswa na kutikiswa na matumizi makubwa yanayofanyika wakati wa mbio za Mwenge nchi nzima. Rais anapanga kutumbua Mwenge huo ambao sasa ni kero badala ya kuwa hero hapa nchini.

Wangapi wanaafiki bila unafiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Utakuwa wa kwanza kuja tena kulaumu kwanini katuondolea historia yetu.
 
Baada ya Rais John P. Magufuli kubadili na kuokoa fedha kwenye sherehe za Uhuru na Muungano,sasa Mwenge wa Uhuru uko njiani kutumbuliwa. Taarifa za kishushushu zinaonesha kuwa tayari Rais Magufuli ameitisha faili la Mwenge huo na kupata maelezo ya kutosha na kutisha kuhusu Mwenge huo.

Taarifa zinaonesha kuwa Rais Magufuli ameguswa na kutikiswa na matumizi makubwa yanayofanyika wakati wa mbio za Mwenge nchi nzima. Rais anapanga kutumbua Mwenge huo ambao sasa ni kero badala ya kuwa hero hapa nchini.

Wangapi wanaafiki bila unafiki?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Naafiki; Mbio za mwenge Zitumbuliwe
 
Duh, kuna watu wanakimbiza mwenge mpaka leo?
 
The only thing I know is that Uhuru torch will be there forever....
 
Kama kuna mtu anamjua mkurugenzi yoyote wa halmashauri amuulize.maagizo ya mefika wiki hii maandalizi ya mwenge yanatakiwa yaanze kufanyika
 
Back
Top Bottom