Tetesi: Rais Magufuli 'kuutumbua' Mwenge wa Uhuru

Historia inafutwa namna hii?,ulileta heshima palipokuwepo na dharau,kwa heshima uhifadhiwe tu,je utaendelea kuwa alama ya Taifa na kuendelea kuwepo kwenye machapisho?.Historia itasema.
 
Mnufaika wa mbio za mwenge naona povu linakutoka.
 

Hilo sio jipu mkuu bali kwa madaktari hiyo kitu tunaita PYOMYOSITIS
 
upelekwe makumbusho tu. kipind cha nyuma walkuwa wanalazimisha walimu wachangie sh 2000, lskin kutokana na ukweli kwamba walimu waligoma kutoa hyo Pesa basi shule zilikuwa zinatoa kwa niaba ya walimu waliopo? sasa Elimu bure cjui watatoa wapi pesaa..
 
Thubutu yake JPM...ule uchawi uliowekwa mle ndani kwenye mwenge sio wa kawaida.
 
......Sisiiii tunataka kuwasha Mwenge.
...Tunataka kuwasha Mwenge....
...Na kuuweka juu ya mlima. Mlima Kilimanjaro.......

Kuwasha Mwenge x2
.....Na kuuweka Kilimanjaro!!!!!!!!!!!!....
 
Utakuwa wa kwanza kuja tena kulaumu kwanini katuondolea historia yetu.
 

Naafiki; Mbio za mwenge Zitumbuliwe
 
Duh, kuna watu wanakimbiza mwenge mpaka leo?
 
The only thing I know is that Uhuru torch will be there forever....
 
Kama kuna mtu anamjua mkurugenzi yoyote wa halmashauri amuulize.maagizo ya mefika wiki hii maandalizi ya mwenge yanatakiwa yaanze kufanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…