Naona amekiri kwa kinywa chake mwenyewe leo kuwa hawakuchaguliwa.
Acha wehu weweInternet users ni 25mil......wote online wanamchukia ukitoa wapumbavu kadhaa wanaoitwa MATAGA!
Mjifikirie sana hivi kwanini your own citizens do not side with you kwa chochote unachoamua?
Ni kwamba ni maamuzi ya kipumbavu which do not resonate with the masses!
Duhh...hivi humu kuna vilaza kiasi hiki!!!??Kwahyo ubungo kutakuwa mkoani😂
Tulisoma uraiaaDuhh...hivi humu kuna vilaza kiasi hiki!!!??
kwahiyo humu kuna watu tangu wazaliwe wanajua Dar si Mkoa..ila ni Jiji!??
Eeehh.... Hatari. Shuleni mlisomea nini!?? Ujinga!!??
nafikiri umemaliza.Daaah watu mbona wazito kuelewa jaman manispaa zote zilizopo dar zina madiwan na mameya wao,
Ila kulikiwa na halmashauri ya jiji la Dar-es Salaam ambalo lilikiwa linaongozwa na madiwan wateuliwa kutoka katika kila manispaa kat ya madiwan wao na anapatikana meya pia lakin hawa watu hawana sehemu wanayoisimamia zaid ya kuongeza matumizi so concept ya mzee n kupunguza matumizi.
Maana yake kuwa madiwan wa ilala ndo watakuwa wanaongoza jiji na meya wao atakuwa ndo meya wa jiji la dar
Imeeleweka Vyema.keshafanya yakeView attachment 1711122
Vizuri sana sajo umeeleza vyema. Nadhani pia somo la Jiografia na Uraia yafundishwe strictly sasa.Mkoa ni mkubwa kuliko Halmashauri ya jiji. Dar kuna mkuu wa mkoa wa Dar (RC), halmashauri ya jiji inaongozwa na Mkurugenzi ambaye yupo chini ya mkuu wa Mkoa.
Dar inabaki kuwa jiji vile vile.Kwahiyo madiwani walichaguliwa na nani? (Anathibitisha wizi wa kura kufanyika?)
Kwahiyo jiji la Dar Es Salaam linaenda kuwa historia? (Dar inakuwa ya "mikoani")
Ikiwa Jiji la Dar linaenda kufa, jiji kubwa kuliko yote Tz linaenda kuwa Mwanza.... (ok ok ok inaeleweka)
Ukienda kutafuta majiji makubwa East Africa, Nairobi anakosa mpinzani rasmi.
Dar ni ilala tu, temeke, ubungo, kino na kigamboni hamna tofauti na songea tuDar inabaki kuwa jiji vile vile.
Ila ilala ndio makao makuu ya jiji,temeke na wenzake zinabaki kuwa manispaa.
Mfano arusha ni jiji,lakini manyara kule sio jiji na hawahusiki kuchagua meya wala kuchaguliwa kuwa meya wa jiji
Manyara ni mkoa unaojitegemea.Dar inabaki kuwa jiji vile vile.
Ila ilala ndio makao makuu ya jiji,temeke na wenzake zinabaki kuwa manispaa.
Mfano arusha ni jiji,lakini manyara kule sio jiji na hawahusiki kuchagua meya wala kuchaguliwa kuwa meya wa jiji
Mi pia sijamuelewa kabisa Magufuli kuhusu hili.Yan akivunja maana yake kutakuwa hakuna Dar es Salaam. Au nimeelewaje! Badala yake ilala ndo itakuwa jiji kama sasa tunavosema jiji la dar es salaam. Niko sahihi au.
Nenda prep. Kakaze msuli. Utaelewa.Mi pia sijamuelewa kabisa Magufuli kuhusu hili.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ana akili sana kutufumbua macho wa Tz.Nadhani jamaa akili haziko sawa
nadhani wakiondoa wale viongozi wa jiji la Dar( anaosema hawana watu wala eneo na hawakuchaguliwa na wananchi) na kubaki na moja ya manispaa ndio iwe jiji,hapa garama za uendeshaji zitakuwa zimepungua siyo kuongezeka...ila jiji la Dar lina sound vizuri kuliko hicho kitu kingine wanachotaka kuanzishaUpuuzi tu wa kuongeza gharama za uendeshaji za Serikali. Husikii huu upumbavu nchi zilizoendelea wa kuongeza idadi ya mikoa au majimbo.