Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam

Kuna gharama kubwa sana katika kuufanya huu upuuzi.

 
Kusoma tu hapa tayari umemsikikiza.

Lisu mwenyewe akiwa ubelgiji ana msikiliza

Kusoma na kusikiliza ni sawa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani mbona hii nchi ina wapumbavu na wajinga kiasi hiki?
 
Mheshimiwa husisahau na Chato ipandishwe iwe Halmashauri ya Jiji la Chato
 
Mwisho atasema wakuu wa mikoa hawana kazi wanatumia pesa bure kwa kazi zinazofanywa na wakuu wa wilaya maana anataka kuaminisha hakuna Dar es salam bali kuna ilala na manispaa nyengine zenye arthi rasmi
 
Unajipa moyo tu
Mtumiaji mmoja was mtandao anaweza kutumia mitandao mitatu
Those statistics are measurable but not accurate
Tunahitaji accuracy

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…