nadhani wakiondoa wale viongozi wa jiji la Dar( anaosema hawana watu wala eneo na hawakuchaguliwa na wananchi) na kubaki na moja ya manispaa ndio iwe jiji,hapa garama za uendeshaji zitakuwa zimepungua siyo kuongezeka...ila jiji la Dar lina sound vizuri kuliko hicho kitu kingine wanachotaka kuanzisha
Yamemshinda kaamua aseme ukweli 🤣 🤣[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ana akili sana kutufumbua macho wa Tz.
KabisaaahYamemshinda kaamua aseme ukweli [emoji1787] [emoji1787]
Ohoo kwahiyo pale ufipa panabakia kua mkoani?? Duh.
Kusoma tu hapa tayari umemsikikiza.
Lisu mwenyewe akiwa ubelgiji ana msikiliza
Wewe ndio unaongoza Taifa katika hiyo sekta ya utumbafu.We ndio kale ka stroke? Kuna viatu vipumbavu sana ndani ya taifa hili
Mwisho atasema wakuu wa mikoa hawana kazi wanatumia pesa bure kwa kazi zinazofanywa na wakuu wa wilaya maana anataka kuaminisha hakuna Dar es salam bali kuna ilala na manispaa nyengine zenye arthi rasmiAkiwa katika uzinduzi wa daraja la juu Ubungo amesema atalivunja jiji na kuipa Ilala hadhi ya jiji na wilaya zingine zibaki kuwa Manispaa.
----
View attachment 1711275
Rais Magufuli ameyasema haya
Nategemea Jiji la Dar es Salaam kulivunja na hii nawaambia hapa ili tutengeneze jiji la eneo fulani, tunaweza tukaifanya Ilala ndio ikawa jiji, ita-depend na mambo yatakavyoenda lakini kuwa na madiwani ambao wanakaa hapa juu, wanachangiwa hela, hawana miradi ya maendeleo, wanakula posho na hawakuchaguliwa na watu, hili nitalikataza.
Kwa hiyo ninalizungumza hapa, wale wanaojiandaa kuwa Mameya wa jiji la Dar es Salaam na wanakaa hawana maeneo wajue hicho kimekwisha. Tunataka Manispaa moja katika jiji la Dar es Salaam ndio ipandishwe hadhi iwe jiji halafu nyingine ziwe manispaa, ni kama ilivyo katika majiji mengine.
Kwahiyo mjiandae kisaikolojia wale waliokuwa wanataka umeya wajiji la Dar es Salaam, meya atapatikana kutoka Ilala au kutoka manispaa mojawapo ya hapa, huu ndio ukweli na ukweli utabaki kuwa ukweli na draft nimeshaletewa na mheshimiwa Jafo, nafikiri nikitoka huku nitakwenda kuisaini.
Ili turahisishe mambo, bajeti ya jiji ambayo haipo, fedha zilikuwa zinapotea ndugu zangu waheshimiwa wabunge, jiji la Dar es Salaam litaendelea kuwepo lakini tutachukua eneo fulani nafikiri Ilala inafaa kuwa jiji, ndio katikati ya jiji la Dar es Salaam, wewe Ubungo utasubiri kwanza kwasababu hata barabara bado hazijatengenezwa tengenezwa lakini nafanya haya ndugu zangu kwa kuangalia matumizi mazuri ya fedha zetu. Mwiso wa Nukuu
Unajipa moyo tuNimekupa takwimu ambazo ni measurable statistics zake tunazo online
Walioko offline hakuna mwenye statistic zao,wewe and Magufuli included!
Hivyo huna chochote cha kujazia just kama mimi
Walao nimetoa takwimu za nusu ya nchi ambazo zipo online....
Sasa kama wewe unachukiwa na kudharaulika kila ukisemacho na nusu ya wananchi wako then hufai una matatizo hujui unachofanya kama population do not resonate with your ideas...
It shows you dont connect successfully with more than half of your own people
Maiti nyie...sijui akili mmeweka matakoni?
Shame on you bums!
Wewe ndio unaongoza Taifa katika hiyo sekta ya utumbafu.
Hicho ni kikorea mkuu, punguza utumbafu bana.Hahaha haka kajamaa ni kajinga sana utumbafu ndio lugha gani?