Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Unaagiza toka nje unasamehe Kodi mzigo unajaaaUgelikuwa ni wewe ungefanya kipi ambacho yeye hajakifanya? Nani kafanikiwa kuliko yeye? Mwache rais wetu, wewe sema utakalo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaagiza toka nje unasamehe Kodi mzigo unajaaaUgelikuwa ni wewe ungefanya kipi ambacho yeye hajakifanya? Nani kafanikiwa kuliko yeye? Mwache rais wetu, wewe sema utakalo.
Yaani kwa sentenso yako ya kwanza imenifanya niwafikirie sana wazazi wako!!!Hana analoweza yeye ni raisi wa Tanzania mpaka leo kwa sababu watanzania ni MAITI WANAOTEMBEA.
mfno. Siku ya sikukuu ya wafanyakazi wahudumu wa afya waliufyata kama hakuna CORONA badala ya kudai vifaa vya kujikinga PPE wanampongeza raisi aliyemafichoni?
Hapa hata aden rage wa simba anaweza kuwa raisi wa nchi tu
VINGINEVYO HUYO ANGEAMBIWA AONDOKE NCHI IMEMSHINDA.
SUKARI INAMUHUSU KILA MTU LAKINI WABONGO NI KAMA HAKUNA LINALOTOKEA WAPO KIMYAA BURDAN KABISA
Sent using Jamii Forums mobile app
Sukari imesha mpiga za uso lazima atafute pa kutokea..Ila hapa penye sukari ni lzm kiki itatafutwa ili kuzima misskiki kutokiki kwenye corona
Amejifungia anakunywa kikombe cha RajoelinaSidhani kama atatoka mafichoni hivi karibuni
Hilo hawezi kwa sasa anaelewa Corona inechangia ucheleweshaji wa mzigo bandarini pia hali ya mvua kubwa nchiniKuna uwezekano mkuu atakapo tokea toka huko mafichoni, atafukuza mmoja wa viongozi wanao husika na sukari kuanzia kwenye bodi hadi kwenye wizara.
Hii yote ni njia ya kununua huruma kwa wananchi lakini watalaam wa siasa za sasa wanasema hilo halita mpa kiki sana kwa sababu alivyo chukulia poa issue ya corona.
Tatizo la sukari ni la kimkakati zaidi kwa sabahu corona haikuja ghafla.
Pia serikali ina namna ya kutoa ruzuku kwa wahusika kwa sababu kama soko la kimataifa sukari imepanda bei hakuna namna ya kulazikisha sukari iuzwe kwa bei ya chini kama serikali haita toa fidia kwa wauza sukari.
Tanzania bila udicteta inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ataangushia mtu jumba bovu Kama wanavowatupiwa lawama mabeberu juu ya kushindwa kwaoSukari imesha mpiga za uso lazima atafute pa kutokea.. View attachment 1446159
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuahidi kupambana na ishu ya sukari. Hilo ni jambo la waziri na lilisumbua tangu enzi za awamu ya kwanza sema wewe ulikuwa bado kwenye kiuno cha mtu
Sent using Jamii Forums mobile app