Rais Magufuli kweli kawapa kiburi wamachinga, Chinga atunishia misuli Halmashauri

Maisha yalivyo tight acha tu,
Waswahili wanakwambia mjini, sihami tuta banana hapahapa
 
Kamwambie mama yako,**** wewe
Yeah! Unajua nyie mliokulia vijijini na mkaja mjini ukubwani na kuanza kushabikia mambo huku akili mmempa mtu awashikie mnakuwa wajinga sana
 
Yeah! Unajua nyie mliokulia vijijini na mkaja mjini ukubwani na kuanza kushabikia mambo huku akili mmempa mtu awashikie mnakuwa wajinga sana
Sana, sielewi mm ndio nimekaza vyuma vyake au vip? Au shemeji yako kakufukuza kwake?
 
Hicho kibanda kama kipo ubungo mataa Ni kuni saiv na Mali zote mateja wamebeba...maana ile vunja vunja ya usiku ilikuwa kiboko...hakikusalia kibanda hata kimoja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…