Mkuu lini tena imepita vunjavunja?Hicho kibanda kama kipo ubungo mataa Ni kuni saiv na Mali zote mateja wamebeba...maana ile vunja vunja ya usiku ilikuwa kiboko...hakikusalia kibanda hata kimoja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu lini tena imepita vunjavunja?Hicho kibanda kama kipo ubungo mataa Ni kuni saiv na Mali zote mateja wamebeba...maana ile vunja vunja ya usiku ilikuwa kiboko...hakikusalia kibanda hata kimoja...
Unapanic kiboya sana,Kamwambie mama yako,**** wewe
Hazijapita hata siku 5 ..we pita daraja LA kijazi...utaona kweupe from Riverside ,junction ya chuo ,ubungo bus terminal na hapo songas..kweupeMkuu lini tena imepita vunjavunja?
Hakuna ila kuwe na utaratibu... Hauwezi kufanikiwa la sio mtu wa utaratibu. Kwanini kesi haupeleki Shule, wanafunzi hawaendi mahakamani na pesa huenda kuhifadhi polisi.. !? Kwani mwalimu na mwanafunzi wakikutana mahakamani hawawezi kujifunza!? Au hakimu akikaa darasani hawezi kuhukumu!? Na kama bunduki inahifadhiwa kituo cha polisi kwa usalama, pesa yako kwnn isiwekwe huko!?We ulitaka wamachinga wasijiigizie kipato?
Washasafisha zamani sanaMmachinga kajenga kibanda chake, kimekuja kupigwa X na halmashauri na kuandikwa ONDOA KWA AMRI YA HALMASHAURI YA JIJI LA DAR ES SALAAM.
Mmachinga kajibu SIONDOI KWA AMRI RAIS WA TANZANIA, NA NITAENDELEA KUWEPO KWA UWEZO WA MUNGU MWEMA.
View attachment 1721715
Kipo machinga complexHicho kibanda kama kipo ubungo mataa Ni kuni saiv na Mali zote mateja wamebeba...maana ile vunja vunja ya usiku ilikuwa kiboko...hakikusalia kibanda hata kimoja...