GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,880
- 11,134
Wanabodi,
Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona
Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake.
Je? Tatizo ni vipimo tulivyonavyo au Tatizo ni utalaamu wa watu wa maabara
Je?Ni nani alituuzia hivyo vifaa
Kwa hiyo nchi za Marekani,China na ulaya ni waongo kwa idadi za vifo wanavyotutangazia na yale mazishi ni maigizo
Je? Ni wakati wa kuacha kula mbuzi,mapapai na vyote vilivyoonyesha Positive
Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa na kushauri nchi zingine zijaribu kupima sample zingine za mimea na wanyama kwa kutumia vipimo vya corona.
Soma hapa > Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria - JamiiForums
Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona
Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake.
Je? Tatizo ni vipimo tulivyonavyo au Tatizo ni utalaamu wa watu wa maabara
Je?Ni nani alituuzia hivyo vifaa
Kwa hiyo nchi za Marekani,China na ulaya ni waongo kwa idadi za vifo wanavyotutangazia na yale mazishi ni maigizo
Je? Ni wakati wa kuacha kula mbuzi,mapapai na vyote vilivyoonyesha Positive
Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa na kushauri nchi zingine zijaribu kupima sample zingine za mimea na wanyama kwa kutumia vipimo vya corona.
Soma hapa > Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria - JamiiForums