Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ilikuwa inachukuliwa "swab" kama unaangalia tv za wenzetu utaona wanawapitisha kijiti chenye pamba puani! kwahiyo hawapeleki damu mkuu!Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu Jf ?!Asante Rais Magufuli
Sisi Tunaendelea kuchapa kazi
Wazungu wenyewe washatuambia Africa vipimo vyetu feki walipuliza dawa tu hapa na shoo tuliiona madhara yakeRais Magufuli akimuapisha Mwigulu Nchemba alisema, kuna haja ya kuangalia Laboratory yetu inayopima Corona maana serikali ilifanya sample ya vipimo mbalimbali kutoka kwa Mbuzi, Kondop, Papai, Fenesi na Oil na majibu yakatoka tofauti tofauti.
Amesema matokeo ya vipimo vya Mbuzi ni positive - ana corona, Papai lina corona, na Fenesi pia huku kondoo na oil ikionekana 'unspecified"...
Amesema hao wataalam wa maabara ni ama wanatumika na Mabeberu, miundombinu ya maabara ni mibovu au hawana utaalam katika eneo hilo.
Amemwelekeza Mwigulu wakashirikiane kutatua jambo hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
It just a matter of time. Just sit tight.COVID-19 ni really.. Watu wanaambukizwa kila uchwao, watu wanakufa kila uchwao.
Anajaribu kuwambia nn wananchi kwa kauli zake kama hizi??
Haya makauli ndio yamefanya Watu waache kwenda Hosp, wengine kutoroka, sababu ya maujinga kama haya.
Ni kama vile, Corona ni mradi nakwamba haipo ???.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kukariri nani kakuambia sampuli ya kupima covid 19 ni damu?Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
Sent using Jamii Forums mobile app