Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ilikuwa inachukuliwa "swab" kama unaangalia tv za wenzetu utaona wanawapitisha kijiti chenye pamba puani! kwahiyo hawapeleki damu mkuu!
 
Ila nyie watu wakatili wa nafsi aiseee...
Kuangalia tuu TBC inahitaji roho ngumu,
Sasa kumwangalia Huyo jamaa TBC inahitaji uwe bandidu na nusu.

Nilienda ugenini, wanaangalia TBC mda wote, Maisha yangu ile jioni yalikua magumu sanaaa, nje kuna mvua, chumbn hakwendeki maana unasubr mwongozo wa wenyeji, kuvaa earphones utaonekana wa ajabu, kuchezea simu mda wote nako hakuleti picha nzuri,
Bahat nzuri mtoto akawa anakuja kuniongelesha kila mambo yakiwa magumu, mtoto wa mzee ambaye ndie mwenyeji wangu ndie alikua anamtuma dogo aje maana alijua.

Yaani yule Mzee mwenye nyumb anashangilia kila kitu asee, half anakuongelesha u comment...

Nilijitahd kuonesha unafk wa hali ya juu ile siku huku unajichekesha la sivyo naharibu hata kilichonipeleka,
Mpk nikahisi ana ni challenge kuona how deep i can handle pressure.
Baadae Mwanaye akanipa pole maana alijua ninavyoteseka.

Ila asikwambie mtu unafk wa nafsi yako unachoma moyoo aisee, naondoka huku najishangaa, hv kweli n mm wa kumshangilia yule jamaa... Nilitamani nikatubu.

Na huwezi ukanishangaa,
Maana haya sasa wewe umesikiliza, ulichoambulia ndio hicho, umefurahia?
 
Rais Magufuli akimuapisha Mwigulu Nchemba alisema, kuna haja ya kuangalia Laboratory yetu inayopima Corona maana serikali ilifanya sample ya vipimo mbalimbali kutoka kwa Mbuzi, Kondop, Papai, Fenesi na Oil na majibu yakatoka tofauti tofauti.

Amesema matokeo ya vipimo vya Mbuzi ni positive - ana corona, Papai lina corona, na Fenesi pia huku kondoo na oil ikionekana 'unspecified"...

Amesema hao wataalam wa maabara ni ama wanatumika na Mabeberu, miundombinu ya maabara ni mibovu au hawana utaalam katika eneo hilo.

Amemwelekeza Mwigulu wakashirikiane kutatua jambo hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazungu wenyewe washatuambia Africa vipimo vyetu feki walipuliza dawa tu hapa na shoo tuliiona madhara yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
COVID-19 ni really.. Watu wanaambukizwa kila uchwao, watu wanakufa kila uchwao.


Anajaribu kuwambia nn wananchi kwa kauli zake kama hizi??


Haya makauli ndio yamefanya Watu waache kwenda Hosp, wengine kutoroka, sababu ya maujinga kama haya.


Ni kama vile, Corona ni mradi nakwamba haipo ???.

Sent using Jamii Forums mobile app
It just a matter of time. Just sit tight.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kukariri nani kakuambia sampuli ya kupima covid 19 ni damu?

Sampuli inayotumika ni nasal swabs na si damu, ambapo majimaji huchukuliwa katika pua za mnyama kwa kutumia kitu kama pamba na kisha hupelekwa maabara kuchunguzwa kwa kutumia PCR...

Watanzania embu tujifunze ku reason kabla ya kuchangia mada, pia niwaase vijana tumieni muda wetu wa akiba kujifunza vitu vipya ambavyo vitawaongezea kitu katika bongo zenu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom