Rais Magufuli: Maabara Kuu ya kupima sampuli za COVID-19 yaonyesha mafenesi, mapapai na mbuzi yana uambukizi

Kiukweli, kama uko smart lazima umkunali JPM ktk hili.
je maabara yetu yako sawa kweli? Je ni wataalam? Je ni vifaa?
 
our president ni kipanga asee naona hii itawazindua mataifa mengine wajipange
hii itakuwa kashfa kuu duniani kwa makampuni watengeneza vipimio vya corona!!! Mengi yatakiona Cha mtema kuni

Raisi Magufuli kamaliza kupambana na mafisadi wa ndani Sasa kahamia kupambana na mafisadi ya kimataifa matengeneza vipimo.vya corona

Kaizindua macho dunia hi itakuwa na impact kubwa duniani
 
Hamna rais hapo
 
Je sampling moja inatosha kukupa majibu sahihi?

Jr[emoji769]
 
Naamini alichosema ni kweli. Watu wa usalama walitakiwa wamshauri Rais wetu asitangaze bali walishughulikie wao na vendor, WHO au yeyote aliyetupatia hivyo vifaa kimya kimya.
 
Watu wengi wanachangia hii Mada pasipo kuelewa Rais anamaanisha nini.
Rais Yeye analenga huwezo wa wataalum wetu , maabara zetu kupima huu Ugonjwa.
Zilizonunuliwa na nani ?
Kama vifaa tiba ni feki siyo kosa la wagonjwa na wananchi ni kosa la serikali yake.

Kama wataalamu hawana uwezo wa kupima still kosa ni la serikali yake tu.

Alichokifanya jamaa ni sawa na kujisafisha mavi kwa kutumia kinyesi cha chooni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio Mkuu tusiwasikilize watu wasio ipenda Nchi Yetu
Bwana wewe ni mwamba. Chapa kazi tu. Usijali maneno yanayozagaa ya kujikinga na kile kinachoitwa COVID-19. Yatakupotezea mda wa kuchapa kazi. Corona haipo. Hapa kazi tu. Amen.
 
Katika ujinga wangu natamani nijue hizo sampuli zinazopelekwa! Je hazina muonekano wa aina moja? Kama zina muonekano wa aina moja, je kuna kemikali zinawekwa kabla ili kufananisha sampuli iliyotoka kwenye papai na ile ya kwenye mbuzi kabla ya kuzipima? Kama zinatofautiana, je maabara ni wazembe kiasi cha kushindwa kujua kwa jicho lisilo la darubini kwamba hili ni papai na hili ni fenesi!? Mwenye utaalamu anieleweshe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni Mimi kabisaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona nae huyu.

Sent using [emoji106]
 
Mkinicheka mnicheke tu.

Hata mimi ningekuwa mkuu wa nchi ningeagiza kila kitu toka nje kijaribiwe kwanza dhidi ya upungufu au njama yoyote.

Ambacho ningesita kufanya ni kutoa matokeo hadharani. Hizi siyo nyakati za kuamini wakubwa wa mataifa jumlajumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na rais nani mwenye access ya resources(technology na vifaa vya maabara) na rasilimali za watu wakutosha?

Tafiti upingwa kwa tafiti mkuu.
Vipi umesetiwa kama robot? Nimekuuliza huu utafiti kaufanyia kwenye maabara gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…