macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Atengeneze vipimo na dawa zake sasa. Si ana akili?Teknolojia bila akili Ni ujinga mtupu
Wao wametupa teknolojia ya kupiga corona Raisi ka challenge hiyo.teknolojia sababu ana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atengeneze vipimo na dawa zake sasa. Si ana akili?Teknolojia bila akili Ni ujinga mtupu
Wao wametupa teknolojia ya kupiga corona Raisi ka challenge hiyo.teknolojia sababu ana akili
Sijapinga, soma ueleweSayansi hupingwa kisayansi mnaoleta hoja zenu kumpinga rais leteni data zenu za kisayansi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe umetokea wapi?
Sikuhizi kuna vilaza wengi kwelikweli
Aisee,basi tusubirie Tanzania ya viwanda tu mkuu maana tunarais genius haijawahi kutokea though hatoagi solutionshii itakuwa kashfa kuu duniani kwa makampuni watengeneza vipimio vya corona!!! Mengi yatakiona Cha mtema kuni
Raisi Magufuli kamaliza kupambana na mafisadi wa ndani Sasa kahamia kupambana na mafisadi ya kimataifa matengeneza vipimo.vya corona
Kaizindua macho dunia hi itakuwa na impact kubwa duniani
Tuliza akili na mawazo yako kwanza kabla hujaanza kuandika ili uweze kuandika kitu kinachosomeka na kueleweka. Acha mawengeHabar, na jaribu kuwaza na kupembua mawazo ya walio wengi na yale ya kiongoz wetu wa nchi, kwa kweli nakosa jibu ni nan mkwel kat ya hiz pande mbil, Maan mtukufu amekil ugonjwa upo ila x ule wanao Sema upande wa pil, pia anasema kipimo cha maabara ya taifa hakifany Kaz vizur au wale watu wa maabara wanakuja n majibu yao kutok mfukon...... Sasa hiv wale waliopimwa n kukutwa n corona inakuwaje sas maana wamezurumiwa maisha yao, mtu han ila amewekwa n aliye kuwa nao n kama kwel hao watu wa maabara wamefanya hila watakuwa ni wahujumu uchum n wanahitajik kupewa adhab Kal kabisa............. Uchungu ufanyik kwao na wanahitajik kusimamishwa mara moj kuanzia PM, UMMY, MGANG MKUU NA HAO MAABARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikifanyika kimya kimya utamjuaje Kama ni genius?Naamini alichosema ni kweli. Watu wa usalama walitakiwa wamshauri Rais wetu asitangaze bali walishughulikie wao na vendor, WHO au yeyote aliyetupatia hivyo vifaa kimya kimya.
Ni ujinga uliopitliza kulisha kipimo cha corona sample za mapapai. Kile kipimo hakifanyi kazi kama huyu kilaza wenu anavyofikiri. Ukikilisha vitu kama sample za mafenisi kinaweza kutoa majibu yoyote kwani hakikutengezwa kuchambua kila sample kinacholishwa. Na pia kunaweza kuwa na human error au negligence kwenye upimaji. Sababu ziko nyingi sana na siyo conclusion ya kijinga aliyofikia huyu kilaza wenu. Rais anatoa hotuba nchi nzima inaingiwa na aibu kwa kuwa na raios mwenye upeo mdogo wa kuchanganua mambo namna hii!Mkinicheka mnicheke tu.
Hata mimi ningekuwa mkuu wa nchi ningeagiza kila kitu toka nje kijaribiwe kwanza dhidi ya upungufu au njama yoyote.
Ambacho ningesita kufanya ni kutoa matokeo hadharani. Hizi siyo nyakati za kuamini wakubwa wa mataifa jumlajumla.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuamini kuwa hakuna Corona, halafu eti ataruhusu ligi iendelee, nimeona wapenda soka wamemsifu sana, ila nikajiuliza ni mchezaji gani wa kimataifa atakuja kucheza kwenye mizaha kama hii.Hapo point kubwa ni watu wasiamini chochote hata data rasmi zinazotolewa na wizara maana zimechezewa..
swali ni tuamini nini ??..
ulikuwa na haraka gani?. ulitaka uwe wa kwanza kuanzisha topic hii?.Habar, na jaribu kuwaza na kupembua mawazo ya walio wengi na yale ya kiongoz wetu wa nchi, kwa kweli nakosa jibu ni nan mkwel kat ya hiz pande mbil, Maan mtukufu amekil ugonjwa upo ila x ule wanao Sema upande wa pil, pia anasema kipimo cha maabara ya taifa hakifany Kaz vizur au wale watu wa maabara wanakuja n majibu yao kutok mfukon...... Sasa hiv wale waliopimwa n kukutwa n corona inakuwaje sas maana wamezurumiwa maisha yao, mtu han ila amewekwa n aliye kuwa nao n kama kwel hao watu wa maabara wamefanya hila watakuwa ni wahujumu uchum n wanahitajik kupewa adhab Kal kabisa............. Uchungu ufanyik kwao na wanahitajik kusimamishwa mara moj kuanzia PM, UMMY, MGANG MKUU NA HAO MAABARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi msikiti wa kwa mtoro ulifungwa,sijui baada hizo ya Statements za mkulu huo msikiti utafunguliwa?Tuamini kuwa hakuna Corona, halafu eti ataruhusu ligi iendelee, nimeona wapenda soka wamemsifu sana, ila nikajiuliza ni mchezaji gani wa kimataifa atakuja kucheza kwenye mizaha kama hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui unachosema....nyamazaDuuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
This dude seem to be so naive and ignorant!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jk na lowasa ugomvi wao umezaa kituko kuwahi kutokea toka dunia iumbwe,yani anaropoka tu nimeamini iko siku atafungwa kudu.anaweza kuhutubia taifa kavaa tauloWanabodi,
Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample kwa kuzipa majina ya binadamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona
Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake.
Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa na kushauri nchi zingine zijaribu kupima sample zingine za mimea na wanyama kwa kutumia vipimo vya corona.
Raisi Ni original thinker sio sawa na chadema ambao huwa hawana Chao original husubiria Magufuli aongee ndipo wao wadakie!!!!Aisee,basi tusubirie Tanzania ya viwanda tu mkuu maana tunarais genius haijawahi kutokea though hatoagi solutions
Mkuu,Sasa mapapai unapeleka sample gani. Au mapapai yana damu?
Msamehe bure hajameza dawa zile za mirembe hosp leoMmmh, huyu mzee ana uhakika lakini? Mbona hatujasikia sehemu nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app