Mbona bandiko limeeleweka kabisa kama yeye mwenyewe aliahidi kuionyesha kuna ubaya gani kumkumbusha.Halafu katika utawala bora kuna kitu kinaitwa transparency,unaelewa muktadha wake?"..small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.." Nelson Rohlahla Madiba Mandela,
tatizo mnaelekeza nguvu nyingi kwenye issue zisizoweza kuwasaidia, mnatumia kuni nyingi kuchemshia mawe mkitegemea kuna siku yataiva mpate mlo!!!
mna kugonjwa ka kulinganisha kila kitu cha Tanzania na marekani!! ukitajiwa Leo mshahara wa ikulu unafikri mifuko yako itajaa? learn to let the wind go off!!
Kama angejua haina umuhimu kwa nini alisema atatuonyesha salary slip yake? Acha kumtusi bosi wako"..small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.." Nelson Rohlahla Madiba Mandela,
tatizo mnaelekeza nguvu nyingi kwenye issue zisizoweza kuwasaidia, mnatumia kuni nyingi kuchemshia mawe mkitegemea kuna siku yataiva mpate mlo!!!
mna kugonjwa ka kulinganisha kila kitu cha Tanzania na marekani!! ukitajiwa Leo mshahara wa ikulu unafikri mifuko yako itajaa? learn to let the wind go off!!
Daaah kweli kabisa mdau hebu tubandikie na hyo salary slip ya rais wa Marekani uliyokuwa nayo tuione hapaWadau kipindi mkulu yupo mapumzikoni Chato mwaka jana aliahidi akirudi Dar angeonyesha salary slip yake ili watanzania tujue analipwa shilingi ngapi. Sasa nadhani sababu ya majukumu mengi amesahau, nlikua nawaomba wasaidizi wake wamkumbushe mkulu ili watanzania tujue mkuu wetu analipwa shilingi ngapi. Cha kushangaza ni kwamba tunaujua mshahara wa Rais wa marekani lakini wa Rais wetu hatuujui.
Mbona bandiko limeeleweka kabisa kama yeye mwenyewe aliahidi kuionyesha kuna ubaya gani kumkumbusha.Halafu katika utawala bora kuna kitu kinaitwa transparency, unaelewa muktadha wake?
Ukiona utafanya nn? anapata m100 kodi hakatwi,bado marupuru.Binafsi naona ana kamshahara kadogo mno,au we unaonaje?Wadau kipindi mkulu yupo mapumzikoni Chato mwaka jana aliahidi akirudi Dar angeonyesha salary slip yake ili watanzania tujue analipwa shilingi ngapi.
Sasa nadhani sababu ya majukumu mengi amesahau, nlikua nawaomba wasaidizi wake wamkumbushe mkulu ili watanzania tujue mkuu wetu analipwa shilingi ngapi. Cha kushangaza ni kwamba tunaujua mshahara wa Rais wa marekani lakini wa Rais wetu hatuujui.
punguza povu.kupata taarifa ni haki ya kikatiba ya raia ilimradi taarifa anazozihitaji hazikiuki sheria na maadili ya nchi.pinga kwa hoja mbona ww umetoka povu, umeongeza kipato?muda uliotumia kutoa povu si ungeutumia kutengeneza pesa.alafu alie post hiyo mada ni mtu mmoja iweje useme tuna kaugonjwa ka kulinganisha kila kitu."..small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.." Nelson Rohlahla Madiba Mandela,
tatizo mnaelekeza nguvu nyingi kwenye issue zisizoweza kuwasaidia, mnatumia kuni nyingi kuchemshia mawe mkitegemea kuna siku yataiva mpate mlo!!!
mna kugonjwa ka kulinganisha kila kitu cha Tanzania na marekani!! ukitajiwa Leo mshahara wa ikulu unafikri mifuko yako itajaa? learn to let the wind go off!!
Wadau kipindi mkulu yupo mapumzikoni Chato mwaka jana aliahidi akirudi Dar angeonyesha salary slip yake ili watanzania tujue analipwa shilingi ngapi.
Sasa nadhani sababu ya majukumu mengi amesahau, nlikua nawaomba wasaidizi wake wamkumbushe mkulu ili watanzania tujue mkuu wetu analipwa shilingi ngapi. Cha kushangaza ni kwamba tunaujua mshahara wa Rais wa marekani lakini wa Rais wetu hatuujui.
Acha kukariri mashairi ya nyimbo za kilioni na kuzitumia ktk harusi."..small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.." Nelson Rohlahla Madiba Mandela,
tatizo mnaelekeza nguvu nyingi kwenye issue zisizoweza kuwasaidia, mnatumia kuni nyingi kuchemshia mawe mkitegemea kuna siku yataiva mpate mlo!!!
mna kugonjwa ka kulinganisha kila kitu cha Tanzania na marekani!! ukitajiwa Leo mshahara wa ikulu unafikri mifuko yako itajaa? learn to let the wind go off!!
Katusahaulisha na ishu za bashite..Aliahidi inabidi atimize ahadinimecheka!!
aonyeshe tu, maana tumemuajiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alichukua bashite uoni anavyomgwaya dogo anajua akimzingua tu bashite ataileta hapa tuione.