Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

Huo sio mshahara wa rais hiyo ilikuwa ni danganya toto tu ni uleule wa Kikwete wa milioni 36 kwa mwezi na huku marais wastaafu wakipata asilimia 80 ya huo mshahara wa rais kwa mwezi.

Afrika mtu akiwa kiongozi huwaona wananchi wote kama majuha tu. Bure kabisa.
 
Huo sio mshahara wa rais hiyo ilikuwa ni danganya toto tu ni uleule wa Kikwete wa milioni 36 kwa mwezi na huku marais wastaafu wakipata asilimia 80 ya huo mshahara wa rais kwa mwezi.

Afrika mtu akiwa kiongozi huwaona wananchi wote kama majuha tu. Bure kabisa.
Tutakuaminije?
 
Tutakuaminije?
Magufuli alikuwa ni mtu anayependa kiki tu na ndio maana akatudanganya kwamba alishusha mshahara wa urais.

Huu ni uongo kabisa kwani ieleweke kwamba marais wastaafu wanalipwa asilimia 80 ya mshahara wa rais aliyeko madarakani kwa mazingira hayo huo mshahara hauwezi kupunguzwa kwa vyovyote vile ni danganya toto tu.
 
Magufuli alikuwa ni mtu anayependa kiki tu na ndio maana akatudanganya kwamba alishusha mshahara wa urais.

Huu ni uongo kabisa kwani ieleweke kwamba marais wastaafu wanalipwa asilimia 80 ya mshahara wa rais aliyeko madarakani kwa mazingira hayo huo mshahara hauwezi kupunguzwa kwa vyovyote vile ni danganya toto tu.
Umekuja na maneno matupu
 
Back
Top Bottom