Rais Magufuli: Msichague wanasiasa wanaohubiri chuki, vurugu zikitokea wao watakimbia kwenda kuishi kwingine

Kilichotokea ktk chaguzi za serikali za mitaa nadiriki kusema kuwa uyu ndie mleta vurugu na mgawanyiko namba moja ktk hii nchi
Hapana shaka tuko pamoja rais wetu kipenzi cha wengi ,lazima umwadabishe yule jamaa aliyetoka ughaibuni akitaka kutuharibia amani ya nchi yetu halafu yeye atokomee tena atuache tukiomboleza,huyu tutamuadhibu kwa kipigo cha kenge.
 
Hivi Magufuli aliwahi kutoa tamko lolote kuhusu mauaji ya Binti Akwilina ?
 
Usimuamini muongo hata kama akiongea ukweli..

Tuna kiongozi wa hovyoo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kauli ya Rais kwa watu wanaojiteka na kujiumiza, kisa siasa!
Huo ni upotevu wa muda
Sugu leo kajiteka na kujitesa..... Alifungwa jela kwa amri kutoka juu na aliyemfunga akapandishwa cheo....

HONGERENI sn kwa huu uchumi wa kati
 
Hapana shaka tuko pamoja Rais wetu kipenzi cha wengi ,lazima umwadabishe yule jamaa aliyetoka ughaibuni akitaka kutuharibia amani ya nchi yetu halafu yeye atokomee tena atuache tukiomboleza,huyu tutamuadhibu kwa kipigo cha kenge.
Acha Uchochezi wewe
 
Nakumbuka ITV mwaka 1995 walikuwa wanaonyesha mauwaji ya Rwanda kila siku...Sasa wako wapi TZ itakuwepo hata Jiwe akiondoka
 
Hapana shaka tuko pamoja Rais wetu kipenzi cha wengi ,lazima umwadabishe yule jamaa aliyetoka ughaibuni akitaka kutuharibia amani ya nchi yetu halafu yeye atokomee tena atuache tukiomboleza,huyu tutamuadhibu kwa kipigo cha kenge.
Tena???
 
Mtaishi kama mashetani.!
Sikuleta Tetemo!
Sipangiwi ! Ukisema ndio umeharibu!

Hivi hilo koba la pesa linalobebwa zinatoka mfuko gani?? Hazina bajeti. WaTZ twaliwa mchana kweupeeh.!
 
Sifa zote alizozitaja anazo yeye, ni kweli tumepanga kutomchagua kutokana uovu wake mwingi tu.
 
Yeye ndio chanzo cha matatizo katika nchi hii kwa kuleta sera za chuki dhidi ya watu wenye mitizamo tofauti na yeye.

Wengine walipigwa risasi na anazuia uchunguzi usifanyike halafu anatudanganya eti anahubiri amani. Hatumtaki hata bure.
What a hypocrisy.
 
Jiwe hana aibu kabisa yaani nafiki balaa , linachoongea na kutenda tofauti kabisa mbingu na ardhi.
 
Angesema chagueni watu wanao wabagua watu kwa ukanda. Hawa ndio wangu walinipa kura usiwaguse. Nyie subirini kwanza. Pia wabomolee na nyumb zao bila fidia. Hawaku nipa kura. Ndie JPM huyo. Hakuja miaka mitano ni sawa na kesha la jana...
 
Watanzania wenzangu nawaomba tuwapige na kuwakataa watu wanaotaka kuvuruga amani yetu. Amani tuliyo nayo ni muhimu sana katika maendeleo ya Tanzania, kuna watu wenye nia ovu huku wakijificha kwenye mwavuli wa chama chao wakidai wanatafuta haki; haki gani mnayoitafuta?

Watanzania tunachotaka nimaendeleo na tayari tumempata Rais mwenye uchungu wakuleta maendeleo. Katika awamu ya kwanza ya miaka mitano ya Raisi Magufuli amefanya mengi mfano vituo vya afya kila kata, hospitali za wilaya, hospitali za kanda zimejengwa, umeme karibia vijiji vyote Tanzania vina umeme, miundo mbinu ya reli na barabara kila kona ya nchi yetu inajegwa, mikopo kwa wanafunza wa elimu ya juu imetolewa kwa kiasi kikubwa.

Nidhamu kazini kwa wafanyakazi, mishahara mwaka huu imeongezwa, ametimiza ndoto ya baba wataifa kuhamia Dodoma, Magufuli kaweza kuthibiti majizi ya Rasilimali zetu.

Nawaombeni Watanzani tuwakatae kwa nguvu zote hawa watu na hichi chama kinachotumiwa na mabeberu kuharibu Amani ya nchi yetu. Tumchague JPM kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…