Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah...wataka Rais mzalendo...mwenye kuweka maslahi ya nchi mbele...iwe kwa haki au batili lazima maslahi ya nchi yawe mbele...siyo kujikomba kwa nchi za kigeni kwa maslahi binafsi... hakuna taifa lolote litakalojali maslahi ya watanzania... Ila watanzania wenyewe....tusidanganyane [emoji2960]Watanzania wanajua wanachokitaka!!
Dah....Hata siku moja huwezi kumsikia magufuli anakemea uchafu huu maana ndio mtaji wake
View attachment 1537071
Rais Mzalendo na mwenye Haki hanunui watu wampambe....wananchi wenyewe wanaona kazi yake!!Dah...wataka Rais mzalendo...mwenye kuweka maslahi ya nchi mbele...iwe kwa haki au batili lazima maslahi ya nchi yawe mbele...siyo kujikomba kwa nchi za kigeni kwa maslahi binafsi... hakuna taifa lolote litakalojali maslahi ya watanzania... Ila watanzania wenyewe....tusidanganyane [emoji2960]
Wafia tumbo wanashangilia badala hata ya kumshauri kuacha kujenga chuki miongoni mwa wanannchi.It cuts across both ways. Inabidi na yeye aache kupropagate chuki anaokuwa jukwaani. Aliyoyaongea wakati amefika kwenye jimbo lililokuwa la Bungara ( Bwege) haikuwa ustaarabu kwa standards za Rais wa Nchi
Hapana shaka tuko pamoja rais wetu kipenzi cha wengi ,lazima umwadabishe yule jamaa aliyetoka ughaibuni akitaka kutuharibia amani ya nchi yetu halafu yeye atokomee tena atuache tukiomboleza,huyu tutamuadhibu kwa kipigo cha kenge.
Mkuu serikali haipaswi kupanic,serikali haigombei Wala kuomba kura Sasa kitu kinaipanikisha? Labda Kama huyu incompetent Magu kachanganya Mambo yake binafsi na Yale ya ccm kwenye serikali yetuTatizo maneno ya mtu yanapokuwa tofauti na matendo hata akisema nini inaonekana kama amesema ujinga. Anayosema Magufuli, anavyo act kama mcha Mungu na mtu mwema, mwenye upendo ni tofauti kabisa na serikali yake inavyotenda...
Huyu jamaa wa ajabu sanaAmefanya hivyo kwa muda wa miaka mitano .......!!
Angekuwa mpinzani kafanya hivo dah! hapa pangekuwa hapatoshi leo hii.Mr president bwana!!
Hivi mbona hotub zake zote hukimbilia kwenye kuomba tukinde amani?...
Naomba kujua ni kitu gani kilimpeleka ughaibuniHapana shaka tuko pamoja rais wetu kipenzi cha wengi ,lazima umwadabishe yule jamaa aliyetoka ughaibuni akitaka kutuharibia amani ya nchi yetu halafu yeye atokomee tena atuache tukiomboleza,huyu tutamuadhibu kwa kipigo cha kenge.
Mimi wala sioni huruma kushambuliwa kwa wapinzani maana wanataka. Haiwezekani daily mnashambuliwa nyinyi tu halafu mnaishia kulamimika kwa polisi ambao mna uhakika hawatapata kitu.Hata siku moja huwezi kumsikia magufuli anakemea uchafu huu maana ndio mtaji wake
View attachment 1537071
yule ni mtetezi wa amani hajawahi kuwa na viashiria vya kuvunja amani tofauti na waliovuka boda kufata malisho ya ngombe nchini mwetuHapana shaka tuko pamoja rais wetu kipenzi cha wengi ,lazima umwadabishe yule jamaa aliyetoka ughaibuni akitaka kutuharibia amani ya nchi yetu halafu yeye atokomee tena atuache tukiomboleza,huyu tutamuadhibu kwa kipigo cha kenge.