Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Mmeibuka kama mapunguani kushingilia maagizo ya kipuuzi Kama haya? Roma, Mdude, Mo, Azory, Lissu, Ben walikuwa kwa hawala zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana huyo Dictator unaemtegemea kaishia kabisa hata busara kidogo iliyokuwa imebakia. Anajimaliza kwa matendo yake.Amiri jeshi wa vyombo vya ulinzi na usalama ameshatoa tamko sasa endeleeni kuleta taharuki kama mlivyoleta za ex CAG halafu tuone
Ben saa8 yuko offline mpaka leo? Hata wakoloni walitunga sheria za kutisha wananchi ili wawatawale vizuri, hivyo mnaweza kutunga hiyo sheria hata leo, lakini inafahamika hii tabia ya kuteka imeshika kasi lini, na hiyo sheria lengo lake sio kulinda vyombo vya usalama visichafuliwe, bali lengo lake ni kunyamazisha watu wasihoji ili waendelee kutekwa. Itungwe hiyo sheria, lakini ikija serikali isiyoteka itafuta hiyo sheria.
kwahivyo kauli yake ukaichukulia kuwa hata mkichukuana mizukule ilaumiwe serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah!Wakati fulani Unguja mashambulizi ya kundi la kihalifu linaloitwa janjawid yalizidi sana. Majibu ya jeshi la polisi siku zote yalikua "hatuwajui hao watu tunaendelea kuwatafuta"
Wananchi walipoitaka serikali iwaruhusu kuwashughulikia hao wahuni pindi watakapo anza kuwashambulia watu, Serikali ya Zanzibar ilikua mbogo kwelikweli na kuonya kua atakayeshambilia hao Janjawid atakiona cha mtemakuni!!!
Tunamuudhi nani labda wewe na huyo chakubanga jiwe wakouna ushahidi kuwa Usalama wa taifa ndio wanahusika na utekaji? haya ndio Mh. Rais amesisitiza watu kama ninyi mchukuliwe hatua..
Hakika mnaudhi sana..
Hadi ndugu yako akipotea au kuchukiliwa msukule ndio utakua na adabu
hakuna atakayechukuliwa na serikali...
hawana huo ujinga wa kuitukana serikali.
wanapiga kazi wanagema ulanzi.. wanakunywa wanalala vizuri...
Kazi kwenu mnaishikishwa adabu kwakuwa mlishaipoteza adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona sijui gari au pikipiki unavutwa vutwa tia Kelele za kutosha maana wameruhusiwa sasa hivi...moto una washa moto..wakiaanza kuchomeka taratibu watajitaja...Kama ni hivyo nami nashauri watanzania tujihami na hao watekaji kwa kupiga yowe la majambazi ili hata kama ni vyombo vya usalama basi wakaendeleze utekaji peponi. Zakaria was very right to shoot them. Wananchi walitakiwa wawaponde mawe
Kwa hiyo pia alijipiga mpaka kushindwa kujitambua na hilo lilithibitishwa na madokta.
Eti hakuna anaechukuliwa ...sio bure unaumwa wewe!
Absolutely yes!kwahivyo kauli yake ukaichukulia kuwa hata mkichukuana mizukule ilaumiwe serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo pia alijipiga mpaka kushindwa kujitambua na hilo lilithibitishwa na madokta.
Kweli kabisa Mo Dewji, Azory Gwanda na Ben Saanane wakamatwe na kuhojiwa..Mheshimiwa Rais yupo sahihi naunga mkono
Wewe endelea tu! Si mlitangaza Assad ametekwa wakati alikuwa kwenye shughuli zake huko Kisarawe!
usiyekuwa punguani prove beyond doubt kuwa usalama ilihusika na matukio hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jf ni uwanja mpana kuna wajuvi wataiweka ila hebu angalia machungu haya unafikiri inaweza kuwa actingnaomba nione taarifa ya madokta mkuu...
ama ilithibitishwa wapi mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app