Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaha mnatengeneza mtego wa PanyaNi sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa muongo you must have a good memories otherwise you can contradict yourself! Kashahau alisema before. Ama kweli njia ya mwingo ni fupiWakenya wana sema "mtu ako na ulimi mbili" ni huyu kesho atasema vingine na refer issue ya MO alisema watanzania sio wajinga Nye Nye Nye
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli aisee.... pia ushamba unachangiaHuyu mtu lilikuwa kosa kubwa Sana kumpa madaraka makubwa
Vyombo vyenu vimeoza. Nivya kutupa na kuunda vipya!Hapo sawa kabisa maana vyombo vyetu vinachafuliwa hovyo
Hapo sawa kabisa maana vyombo vyetu vinachafuliwa hovyo
Mmeibuka kama mapunguani kushingilia maagizo ya kipuuzi Kama haya? Roma, Mdude, Mo, Azory, Lissu, Ben walikuwa kwa hawala zake?Ni sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tii sheria bila shuruti hakuna anayeonewa labda Kama sheria hazijulikaniNi visafi?
Ni sawa kabisa,tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe vyako vipo wapi?
Tii sheria bila shuruti hakuna anayeonewa labda Kama sheria hazijulikani
Wewe unaamini hiyo maneno? .Wakuambie harafu wakuachie?.Nadhani walimuambia ni maagizo kutoka juu kabisa
Sungusungu?Kama itakupendeza.Tutaunda vikundi vya ulinzi ili tujilinde wenyewe. Na ndipo itakapojulikana Nani mwenye ushahidi.
Mama yako anaweza akaisaidia polisi kwa maelezo yake kama lini alikuona wewe mara ya mwisho? Ulivaa nguo gani? Uliondoka katika mazingira gani? Nakadhalika na kadhalika. Alafu wao wanaendelea zaidi mpaka upatikane au uachiwe huru na huyo lijimama wako.Waliopo karibu ya rais wanisaidie kuniulizia,hivi kazi ya police siku hizi ni nini? Yaani hata mimi nisipooneka for two days,niwe nimefungiwa ndani na jimama au nguo zangu zimelowekwa,mama atakwenda police au popote anapoona anaweza kupata msaada kuriport kuwa nimepotea then ni jukumu la police kufanya uchunguzi na kutoa taarifa kama ni kweli nilikuwa nimepotea au nilikuwa kwa hawara shame on him