Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Youre under arrest since now,kijana kaa chini...nyoosha njia kwenye hiyo kordo kata kulia,apande ..../atoe viatu,na aandindike alivyonavyo,aingie SERO.
una ushahidi kuwa Usalama wa taifa ndio wanahusika na utekaji? haya ndio Mh. Rais amesisitiza watu kama ninyi mchukuliwe hatua..Kutisha watu sio suruhisho dawa hapa ni kutafuta Kwann usalama wa Taifa unahusishwa na maswala hayo ya utekaji?
Chaguo la lubuva haliwezikuwa chaguo la wengiMliifinya demokrasi 2015.ndani ya chama chenu,sasa mnalia wenyewe.#Hapa kazi tu.
Usalama jukumu lao ni kumtafuta mtekaji ili wasihusishwe na utekaji husika.una ushahidi kuwa Usalama wa taifa ndio wanahusika na utekaji? haya ndio Mh. Rais amesisitiza watu kama ninyi mchukuliwe hatua..
Hakika mnaudhi sana..
Hawawezi kua mbumbumbu kiasi hicho buanaNadhani walimuambia ni maagizo kutoka juu kabisa
Unapokaa kimya maovu yakiendelea kujirudia rudia ukiwa na uwezo wa kuyazuia unakwepa vipi lawama ya kuwa sehemu ya uovuuna ushahidi kuwa Usalama wa taifa ndio wanahusika na utekaji? haya ndio Mh. Rais amesisitiza watu kama ninyi mchukuliwe hatua..
Hakika mnaudhi sana..
Nani wanapaswa kuvisafisha kama siyo wao wenyewe kwa kufanya kazi kwa weledi na siyo kwa maagizo ya watu fulani kwa maslahi yao?? Watanz sio wajinga.Hapo sawa kabisa maana vyombo vyetu vinachafuliwa hovyo
Mfano mwingine ni Zakaria,asingekuwa na mguu wa kuku ndio ingekuwa basi tena!Baada ya kuwaamshia popo ndio wanajitambulisha kuwa ni usalama!Hii imekuwa njia ya sasa ya kina Zitto kuichafua Serikali. Mfano ishu ya CAG.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka watu waone nini ndio waseme ametekwa? Kwa USA mtu asipoonekana masaa 48 bila kuonekana mazingira ya utatanishi ndio unaruhusiwa kufungua jalada missing person na polisi wanaanza kumtafuta!Ni sawa kabisa, tena itungwe sheria Kali dhidi ya vyombo vya habari vinavyohusika kutoa taarifa za uzushi kama hizi ili Iwe mwisho wa upuuzi huu,mtu amekamatwa let's say na polisi mijitu inasema ametekwa,mtu yuko offline kwa matatizo ya mtandao wanadai ametekwa,hatuwezi kufika kwa kuendekeza upuuzi kama huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Rai amejiabisha sana leo, amiri jeshi mkuu anataka kukamata wanaopiga kelele huku ameshindwa kuwakamata wahalifu wanaoteka na kuua, hilo jukum anamwachia naniTutaunda vikundi vya ulinzi ili tujilinde wenyewe. Na ndipo itakapojulikana Nani mwenye ushahidi.