Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Awamu hii ya 5 ilishawahi kuwakamata watekaji ukizingatia matukio hayo yameshamiri sana awami hii?Kwanin?Nimewapa kisa chenye mfano,hao wengine unaowasemea hakuna ajuaye yaliyowakuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awamu hii ya 5 ilishawahi kuwakamata watekaji ukizingatia matukio hayo yameshamiri sana awami hii?Kwanin?Nimewapa kisa chenye mfano,hao wengine unaowasemea hakuna ajuaye yaliyowakuta.
Wamewahi kuchukua hatua gani iliyokuridhisha baada utekaji wote uliotokea?una ushahidi kuwa Usalama wa taifa ndio wanahusika na utekaji? haya ndio Mh. Rais amesisitiza watu kama ninyi mchukuliwe hatua..
Hakika mnaudhi sana..
Ndio,inaonekana wengi tutapotea siku sio nyingi. Huyu mtu anachukiza sana aisee!
Sijui,labda waulize wenye dhamana ya masuala hayo.Awamu hii ya 5 ilishawahi kuwakamata watekaji ukizingatia matukio hayo yameshamiri sana awami hii?Kwanin?
Acha ujinga wewe. Hivi huwa una umri gani? Naona leo hujaweka kibwagizo cha kuwa na ndugu Ujerumani.Mama yako anaweza akaisaidia polisi kwa maelezo yake kama lini alikuona wewe mara ya mwisho? Ulivaa nguo gani? Uliondoka katika mazingira gani? Nakadhalika na kadhalika. Alafu wao wanaendelea zaidi mpaka upatikane au uachiwe huru na huyo lijimama wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona jumapili yako inakuendea vibaya, au ndo harakati zako za kuzibuliwa nnya nn boya wwUnapayuka kama umeingiziwa kitu kigumu vile mtaroni!
Mo Dewj,Roma,Mdude,Ben saanane,Azory Gwanda na wengine hakuna majibu ya maana!Shame on this gvt!Sijui,labda waulize wenye dhamana ya masuala hayo.
"Matengenezo ya barabara hayawezi kukusaidia chochote, kaa hapo chini unywe bia" by Naibu Waziri Mwita WaitaraUsalama jukumu lao ni kumtafuta mtekaji ili wasihusishwe na utekaji husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes yes jitahidi kuitumia simu vizuri hakikisha kila Mara location icon Iko ON at least ijulikane last minutes ulikua pande zipiNdio,inaonekana wengi tutapotea siku sio nyingi. Huyu mtu anachukiza sana aisee!
Kama ni hivyo nami nashauri watanzania tujihami na hao watekaji kwa kupiga yowe la majambazi ili hata kama ni vyombo vya usalama basi wakaendeleze utekaji peponi. Zakaria was very right to shoot them. Wananchi walitakiwa wawaponde mawe