Ilipitishwa na bunge la wabunge waliotumia usafiri wa maji kutoka dar kwenda Mwanza kwenye Maonyesho ya siku ya Uhuru.Bajeti ya pesa za kuinunua ilipitishwa na bunge lipi?
Fedha zako!!!. Unaweza hata ukazitaja katika Tsh? Au ndo kubwabwaja tu hela zako, una hela za kununua au kukomboa ndege ya serikali wewe Kama kutwa nzima ndo unashinda mtandaoni kwa ofa za Mbs kupost ujinga. Kafanye kazi huko ili ulipe na Kodi.
Achana na haya majungu ya mitandaoni hayajengi.. MKUU WANGU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais Magufuli akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi leo amesema Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa huru na itatangazwa siku itakapopokelewa. Pia Rais Magufuli amesema safari hii ndege hii itapokelewa Mwanza (tarehe itatangazwa).
“Ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza.” Alisema
Itakumbukwa Mamlaka nchini Canada zilikamata ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400. Kutokana na shauri la kesi iliyofunguliwa na mkulima mstaafu raia wa Namibia Hermanus Steyn
ZAIDI SOMA:
Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA - Waziri wa Mambo ya Nje na...www.jamiiforums.com
Tuliza mzuka utaeleweshwa....Tunataka kujua hiyo ndege imeachiwa kwa utaratibu upi au makubaliano gani? Hii kusema ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiwa haitoshi..!!!Je, imeachiwa baada ya kumlipa Mkulima Steyn 30m USD( about 64 Billions Tshs.) au imeachiwa kwa utaratibu kama ule wa South Africa baada ya Mahakama kutengua zuio kufuatia mvutano Mahakamani kati ya Mahakimu wa Africa Kusini na wale wa Tanzania?
Ukisoma hapa unaona kama kuna kitu kinafichwa hivi ili Watz wasijui kuna nini nyuma ya pazia. Ijulikane kwamba Watzkodi zao ndiyo zimetumika kununua hilo dege......!!!
Tunataka kujua hiyo ndege imeachiwa kwa utaratibu upi au makubaliano gani? Hii kusema ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiwa haitoshi..!!!Je, imeachiwa baada ya kumlipa Mkulima Steyn 30m USD( about 64 Billions Tshs.) au imeachiwa kwa utaratibu kama ule wa South Africa baada ya Mahakama kutengua zuio kufuatia mvutano Mahakamani kati ya Mahakimu wa Africa Kusini na wale wa Tanzania?
Ukisoma hapa unaona kama kuna kitu kinafichwa hivi ili Watz wasijui kuna nini nyuma ya pazia. Ijulikane kwamba Watzkodi zao ndiyo zimetumika kununua hilo dege......!!!
Mkuu achana na wapuuzi...Kuna kitu unatamani kusikia,lakini bahati mbaya huna vigezo vya kukisikia.maana hamna taarifa utakayoipokea kwa wema.
Ukisikia kalipwa,utalaumu kwanini yalifanyika maamuzi ya kijinga 1980 yameleta madhara leo!!
Ukisikia hajalipwa,utalaimu kwanini halipwi pesa take na anatudai kihalali.
Jua ndege imeachiwa,kafanye mambo mengine.
kwenye KICHA CHA LEO ASEME AMEMLIPA DOLA MILIONI NGAPI HUYU MKULIMA NA WAMEANDIKISHIANA ATAMALIZA MWAKA UPI KULIPA ZOTE?Rais Magufuli akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi leo amesema Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa huru na itatangazwa siku itakapopokelewa. Pia Rais Magufuli amesema safari hii ndege hii itapokelewa Mwanza (tarehe itatangazwa).
“Ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza.” Alisema
Itakumbukwa Mamlaka nchini Canada zilikamata ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400. Kutokana na shauri la kesi iliyofunguliwa na mkulima mstaafu raia wa Namibia Hermanus Steyn
ZAIDI SOMA:
Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA - Waziri wa Mambo ya Nje na...www.jamiiforums.com
Hata sielewi umejibu nini, kwamba SA tulishinda kesi automatically na pengine lopote ni lazima iwe hivyo? Nimeuliza ili nijue, kama huna jibu piga kimya.Hivi kule mahakama ya South Africa tulilipa au tulishinda kesi?
Naona mnatanua goli fasta fasta ili muwe na hoja angalau hata Kwa muda mfupi?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahah!
Habari za kurasini/Kigamboni lakini?
we ndugu yangu taratibu.
karibu Songe.
Ninyi si mnasema nchi aina ela ....!? Yaani mmehamisha magoli mmechoka na sasa mnarudi kutafuta kipeo na kipeuo cha moja. Ha ha a aa!
Kama Unaijua.... Indigo...huwezi kuuliza swali la namna hii!Itafanya safari za wapi vile?
Rais Magufuli akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi leo amesema Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa huru na itatangazwa siku itakapopokelewa. Pia Rais Magufuli amesema safari hii ndege hii itapokelewa Mwanza (tarehe itatangazwa).
“Ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza.” Alisema
Itakumbukwa Mamlaka nchini Canada zilikamata ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400. Kutokana na shauri la kesi iliyofunguliwa na mkulima mstaafu raia wa Namibia Hermanus Steyn
ZAIDI SOMA:
Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA - Waziri wa Mambo ya Nje na...www.jamiiforums.com
Nashidwa kufurahi toka moyoni kuwasili kwa ndege yetu, kwa kukosa uwazi na maelezo ya kutosha, nilitegemea kama ilivyoshikwa maelezo ya serikali yalieleweka na hakukuwa na lawama nyingi, hii kuto toa maelezo ni kukaribisha maneno, na maneno hayo yatakuwa sahihi kwa kuwa hakuna maelezo rasmi, Ni mbaya sana.Wengine tulitilia shaka hizo taarifa zilipotoka mara ya kwanza
Ni swali la kila mtu, hata wajumbe wa halmashauri kuu mmoja mmoja anajiuliza, tofauti wajumbe wa halmashauri kuu wanajiliza huku wapiga makofi, sie tumeshika Tama!Je, tumelipa au tumeshinda kesi?