Ilipitishwa na bunge la wabunge waliotumia usafiri wa maji kutoka dar kwenda Mwanza kwenye Maonyesho ya siku ya Uhuru.
Hawa hapa ndo wabunge waliopitisha hiyo bajeti unayohoji[emoji116][emoji116]
Fedha zako!!!. Unaweza hata ukazitaja katika Tsh? Au ndo kubwabwaja tu hela zako, una hela za kununua au kukomboa ndege ya serikali wewe Kama kutwa nzima ndo unashinda mtandaoni kwa ofa za Mbs kupost ujinga. Kafanye kazi huko ili ulipe na Kodi.
Achana na haya majungu ya mitandaoni hayajengi.. MKUU WANGU.
Rais Magufuli akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi leo amesema Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa huru na itatangazwa siku itakapopokelewa. Pia Rais Magufuli amesema safari hii ndege hii itapokelewa Mwanza (tarehe itatangazwa).
“Ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza.” Alisema
Itakumbukwa Mamlaka nchini Canada zilikamata ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400. Kutokana na shauri la kesi iliyofunguliwa na mkulima mstaafu raia wa Namibia Hermanus Steyn
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA - Waziri wa Mambo ya Nje na...
Tunataka kujua hiyo ndege imeachiwa kwa utaratibu upi au makubaliano gani? Hii kusema ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiwa haitoshi..!!!Je, imeachiwa baada ya kumlipa Mkulima Steyn 30m USD( about 64 Billions Tshs.) au imeachiwa kwa utaratibu kama ule wa South Africa baada ya Mahakama kutengua zuio kufuatia mvutano Mahakamani kati ya Mahakimu wa Africa Kusini na wale wa Tanzania?
Ukisoma hapa unaona kama kuna kitu kinafichwa hivi ili Watz wasijui kuna nini nyuma ya pazia. Ijulikane kwamba Watzkodi zao ndiyo zimetumika kununua hilo dege......!!!
Tunataka kujua hiyo ndege imeachiwa kwa utaratibu upi au makubaliano gani? Hii kusema ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiwa haitoshi..!!!Je, imeachiwa baada ya kumlipa Mkulima Steyn 30m USD( about 64 Billions Tshs.) au imeachiwa kwa utaratibu kama ule wa South Africa baada ya Mahakama kutengua zuio kufuatia mvutano Mahakamani kati ya Mahakimu wa Africa Kusini na wale wa Tanzania?
Ukisoma hapa unaona kama kuna kitu kinafichwa hivi ili Watz wasijui kuna nini nyuma ya pazia. Ijulikane kwamba Watzkodi zao ndiyo zimetumika kununua hilo dege......!!!
Tunataka kujua hiyo ndege imeachiwa kwa utaratibu upi au makubaliano gani? Hii kusema ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiwa haitoshi..!!!Je, imeachiwa baada ya kumlipa Mkulima Steyn 30m USD( about 64 Billions Tshs.) au imeachiwa kwa utaratibu kama ule wa South Africa baada ya Mahakama kutengua zuio kufuatia mvutano Mahakamani kati ya Mahakimu wa Africa Kusini na wale wa Tanzania?
Ukisoma hapa unaona kama kuna kitu kinafichwa hivi ili Watz wasijui kuna nini nyuma ya pazia. Ijulikane kwamba Watzkodi zao ndiyo zimetumika kununua hilo dege......!!!
Rais Magufuli akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi leo amesema Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa huru na itatangazwa siku itakapopokelewa. Pia Rais Magufuli amesema safari hii ndege hii itapokelewa Mwanza (tarehe itatangazwa).
“Ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza.” Alisema
Itakumbukwa Mamlaka nchini Canada zilikamata ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400. Kutokana na shauri la kesi iliyofunguliwa na mkulima mstaafu raia wa Namibia Hermanus Steyn
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA - Waziri wa Mambo ya Nje na...
Hata sielewi umejibu nini, kwamba SA tulishinda kesi automatically na pengine lopote ni lazima iwe hivyo? Nimeuliza ili nijue, kama huna jibu piga kimya.
Mwenye taarfa jinsi ndege yetu ilivyoachiwa anijulishe tafadhali, kwa nia njema tu.
Kwa kuwa Canada na SA kote masuala yalikuwa mahakamani, kwa SA tulielezwa mkulima alishidwa kesi hiyo pia rufaa alishindwa.
Canada bado sijui kimetokea nini nafahamu tu suala la mapokezi baada ya kuachiwa.
Ikiwa tumshinda kama SA, la tumeshidwa, aidha tumefikia makubaliano nae juu ya malipo au kama masuala yenye ni siri na mmekubaliana pande zote zisiseme chochote, basi ni vema tukajulishiwa kuwa mambo haya ni siri au vinginevyo, jambo hili linanifikirisha sana, hadi naamua nihoji muda huu
Nasoma maelezo mbalimbali sijafanikiwa kuona maelezo yake naomba mnisaidie kwa hilo.
Rais Magufuli akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi leo amesema Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa huru na itatangazwa siku itakapopokelewa. Pia Rais Magufuli amesema safari hii ndege hii itapokelewa Mwanza (tarehe itatangazwa).
“Ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza.” Alisema
Itakumbukwa Mamlaka nchini Canada zilikamata ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400. Kutokana na shauri la kesi iliyofunguliwa na mkulima mstaafu raia wa Namibia Hermanus Steyn
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi Kabudi amesema ndege ya Tanzania Bombardier Q400 iliyokuwa iwasili nchini hivi karibuni imekamatwa nchini Canada na kesi ipo Mahakamani NDEGE NYINGINE YA TANZANIA YAKAMATWA CANADA - Waziri wa Mambo ya Nje na...
Nashidwa kufurahi toka moyoni kuwasili kwa ndege yetu, kwa kukosa uwazi na maelezo ya kutosha, nilitegemea kama ilivyoshikwa maelezo ya serikali yalieleweka na hakukuwa na lawama nyingi, hii kuto toa maelezo ni kukaribisha maneno, na maneno hayo yatakuwa sahihi kwa kuwa hakuna maelezo rasmi, Ni mbaya sana.
Ni swali la kila mtu, hata wajumbe wa halmashauri kuu mmoja mmoja anajiuliza, tofauti wajumbe wa halmashauri kuu wanajiliza huku wapiga makofi, sie tumeshika Tama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.