Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,332
Imeachiwa kwa conditions zipi
Naona watu wana bwabwaja na kuhorojoka sana hapa JF. Je tumemalizana na Steyn au bado ni mdai wetu kihalali? Ni muda muafaka wa kumalizana na Steyn ili tufocus kwenye vitu vigineWasaliti inawauma sana hii taarifa!