Rais Magufuli: Ndege yetu Bombardier Q400 iliyokuwa ikishikiliwa Canada imeachiwa, itapokelewa Mwanza, tarehe 14/12/2019

Rais Magufuli: Ndege yetu Bombardier Q400 iliyokuwa ikishikiliwa Canada imeachiwa, itapokelewa Mwanza, tarehe 14/12/2019

Hongera Rais Magufuli

Wapinzani sijui wataweka wapi sura zao
Njoo uchukue mzigo wako mkuu uliusahau pale barabarani ulipokuwa umekaa.
IMG_20191202_095811.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Magufuli akizungumza na wajumbe wa Halmasharuri kuu ya Taifa ya chama cha Mapinduzi leo amesema Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canana imeachiwa huru na itatangazwa siku itakapopokelewa. Pia JPM amesema safari hii ndege hii itapokelewa Mwanza (tarehe itatangazwa).

“Ndege yetu iliyokuwa inashikiliwa Canada imeachiliwa, wananchi watatangaziwa tarehe ya kuwasili ili wakaipokea na tutaipokelea hapa Mwanza.” Alisema

Itakumbukwa Mamlaka nchini Canada zilikamata ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400. Kutokana na shauri la kesi iliyofunguliwa na mkulima mstaafu raia wa Namibia Hermanus Steyn



View attachment 1289573


Prof. Kabudi: Ndege ya Tanzania, Bombardier Q400 imekamatwa Canada na kesi ipo Mahakamani
Kama wameachia kwa kumalizana na deni LA huyo mkulima itakuwa suluhisho LA kudumu. Ila kama imeachiliwa kwa technicalities za kisheria bado siyo suluhisho
 
last time SA tulishinda kesi ... this time ndege imeachiwa huru ... mhhh ... government revenues
 
mbona mwanzo mlikuwa mnajulikana kabisa mnafurahi yaani mimi ndiyo maana nawaonaga wapinzani wa tanzania ni punguwani namba moja sasahivi wanajificha
Kwenye watu 10 akifurahi mmoja haina maana wamefurahi na waliobaki.... kila mmoja ana maoni yake, si kila mtu anapenda hizo shida tunazozipata..... tunatofautiana sana mawazo... kama yule anaeona story hii inahusiana na kila ambae sio chama Mapinduzi. Kuihusisha hii story na Mbowe ni kukosa hoja tu... ni wapi Mbowe umemsikia anaongelea masuala ya kukamatwa kwa ndege, yeye mwenye na wenzake wana changamoto kibao....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom