Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imeshikiliwa nchini Canada imeachiliwa, athibitisha Rais Magufuli asubuhi hii jijini Mwanza. Asema siku ya kupokelewa itatangazwa.
“Kwa taarifa tu, Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa, mtatangaziwa siku ya kuipokea na itapokelewa hapa Mwanza” Rais Dkt John Magufuli
Semina ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC)
“Kwa taarifa tu, Ndege yetu iliyokuwa imeshikiliwa Canada imeachiwa, mtatangaziwa siku ya kuipokea na itapokelewa hapa Mwanza” Rais Dkt John Magufuli
Semina ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC)