Uchaguzi 2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

Huyu acha dharau zake zimtokee puani. Uongozi wa nchi unahitaji uwe na heshima kwa unaowaongoza maana ndo waliokuweka hapo. Sasa acha akapumzike na mifeni yake.
 
Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu,mmeteseka kwa kukandamizwa stahiki zenu kwa muda mrefu sanaa.Miaka 5 mmekuwa kituko mtaani maisha yenu.
 
Hawezi kuongeza mishahara! epuka kuipa nafsi yako majuto na masononeko ya miaka 5 kwa matumaini hewa, ipe faraja nafsi yako kwa kumnyima kura asubuhi na mapema.
 
Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu,mmeteseka kwa kukandamizwa stahiki zenu kwa muda mrefu sanaa.Miaka 5 mmekuwa kituko mtaani maisha yenu.
 
Hayo ndiyo yanajustify watumishi wa umma kutokupewa nyongeza ambayo ipo kisheria na ina madhara chanya kwenye mafao yao? Kwanini wana Lumumba mna akili nzito kiasi hiki, je unaelewa madhara ya kutokuwapa nyongeza kila mwaka kama sheria inavyotaka? Jibu swali kama huwezi muite KM Bashiru akusaidie.
 
Mataga walio wengi hata kazi hawana, wanabangaiza vibarua Lumumba, wanalipwa posho hata mshahara hawaujui. Hawajui increment wala fao la kujitoa. Kwa ujumla hawajui chochote zaidi yakusema CCM oyee, na hata elimu zao tia maji tia maji, msomi gani utamuajiri umlipe posho tu bila mshahara? Hawa wananjaa sana wasidhani hatuwajui.

Wenye vielimu kidogo ndio hao wamegombea uenyeviti katika ngazi mbali mbali za chama, hawana mshahara zaidi ya posho, ufisadi na hisani, kupigizana kelele na mataga kuhusu Fao la kujitoa ni kupoteza muda maana hawaelewi chochote!
 
Unaandika pumba, bilashaka wewe ni mchumia tumbo au unakaa kwa dada yako!!

Acha tunaojielewa tumshughulike huyu katili, jizi, Mbaguzi Jiwe
Hao ni vijana wa lumumba pale hawajui lolote zaidi ya kutetea Zile buku 2 kwa siku
 
Je sheria inasema hivyo kuhusu kupandishwa mishahara ya watumishi wa umma, je pia Kuna exceptional yoyote katika sheria inayotaka mtumishi wa umma aongezewe mshahara kila mwaka? My friend kwa sasa watu elimu iko kwa kichwa sana
 
Uchumi umeimarishwa na bado unatumia TECNO F3 ya laki 2.huo uchumi haujakufikia? 😀

(msikie atakavyojishebedua)
 
Acha uongo, ustronger upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…