sasa kuandika hujui utamuajiri naniMkuu nauwezo wa kukuajili kabisa. Achilia mbali kuwa naishi wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kuandika hujui utamuajiri naniMkuu nauwezo wa kukuajili kabisa. Achilia mbali kuwa naishi wapi.
Bro usipanic ukweli ndo huo. Misukule hamuwezi amini kuwa mzee JPM anashinda.
Ahsante kama umeshiba tayari.
Karibu sana Heineken baridiii na kitimoto hapa
Mzee mie ndio ba$#a lenu. JIANDAENI kuliwaWewe
Una kinyama Cha mkundi kinakuwasha. Sema watu wamchague JPM wapo wataomchagua, sio kuleta porojo wakati hiyo miradi mikubwa bado haijakamilika.
Wafanyakazi wanajua miaka mtano ilivokuwa na 28 oct wanna Jambo lao.
Nini alifanyaKama iko kwenye ilani yenu ya ccm mbona hamjaongeza mishahara kwa miaka yote hiyo? Lissu ni kiongozi bora kabisa, mfano ni pale alipopewa jukumu ya kuwa Rais wa mawakili wasomi tanganyika
Jiandaeni kisaikolojia. Nyomi la kaskazini mnaona wenyewe.Walamba makalio ya CCM mna kazi sana mwaka huu, HATUDANGANYIKI.
Imekula kwake yeye na kiburi chake cha uraisi akilazimisha nitaingia barabarani Niko na dumu la petrol ili sasa tuoneshane kua tumechoka tunataka haki zetu kama watanzaniaNilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!
Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?
Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini
Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?
Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Haahaa mwambie byebye
Imeisha hiyoHata kama angekuwa anagombea peke yake, bado [emoji777] tungempiga.
Sembuse sasa ana mtu anayejua nini maana ya Haki!!
#NiYeYe2020
Mnajikaza tu ukweli mnaoJisemee wewe.
#JPM5TENA
Mfa maji; enenda salamaNilimsikia Rais Magufuli, katika mkutano wake wa kampeni hapo Jana, huko Bagamoyo mkoani Pwani, akiwaahidi wafanyakazi kuwa atawaongeza mishahara yao wafanyakazi hao, iwapo watamchagua tena katika uchaguzi mkuu ujao!
Hivi si ndiyo huyu huyu Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi, kila amapoonbwa na viongozi wa vyama vya wafanyakazi kutokana na kupanda kwa hali ya maisha kwa wafanyakazi hao, katika kila sherehe za Mei Mosi, kila mwaka tokea aiingie madarakani mwaka 2015, akidai kuwa hawezi kuongeza mishahara wafanyakazi, kwa kuwa katika kipindi hiki anajenga miundo mbinu mikubwa ya reli ya SGR na bwawa la umeme la Stieglers Gorge?
Wakati Rais Magufuli amekuwa akigoma katakata kuongeza mishahara ya wafanyakazi kwa sababu hizo zisizokuwa na mashiko hata kidogo, marais wenzake wote waliomtangulia walikuwa wakiwaongeza mishahara yao wafanyakazi, pamoja na marais hao pia walikuwa wakiendelea kujenga miundo mbalimbali hapa nchini
Hivi Rais Magufuli kutoa ahadi hiyo wakati huu wa kampeni, anatugeuza sisi wafanyakazi wa nchi hii ni wajinga mno na tunaoweza kudanganyika kirahisi hivyo?
Sisi wafanyakazi wa nchi hii, hatudanganyiki tena na Rais Magufuli na tuna jambo letu ambalo tutalitimiza ifikapo Oktoba 28 mwaka huu kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.