Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ongeza mishahara mwezi huu, watumishi watakuelewa

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ongeza mishahara mwezi huu, watumishi watakuelewa

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,419
Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.

Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.

Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.

Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.

Screenshot_20201020-085432.png
 
Utakuwa mjinga kumwelewa mtu ambaye hakukupa mshahara kwa miaka 5 halafu juma moja kabla ya uchaguzi anakuhonga nyongeza ili umpe kura. Kuna Watanzania wajinga lakini siyo wote. Wenye akili pia tupo.
Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.

Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.

Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.

Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.

View attachment 1605741
 
Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.

Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.

Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.

Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.

View attachment 1605741
Kuna kada za ulinzi zimeshakula mshahara jioni ya leo nasikia hamna omgezeko lolote japokuwa sina uhakika na taarifa hizi
 
Duuh... Ila hao jamaa walishaongezwa kitambo na kila mwaka wa fedha, wao imo
Kuna kada za ulinzi zimeshakula mshahara jioni ya leo nasikia hamna omgezeko lolote japokuwa sina uhakika na taarifa hizi
 
Utakuwa mjinga kumwelea mtu ambaye hakukupa mshahara kwa miaka 5 halafu juma moja kabla ya uchaguzi anakuhonga nyongeza ili umpe kura. Kuna Watanzania wajinga lakini siyo wote. Wenye akili pia tupo.
Mhhh.. Za uso
 
Muongo sana huyu mgombea wa ccm. Ametangaza ajira fake za walimu elfu 13 ili apate kura zao. Lkn uzuri amestukiwa hatopata.

Haaminiki huyu. Hatudanganyiki!!
 
Rudisha FAO la kujitoa

Watu wote walipwe Pesa zao

Sio wengine kunyimwa na kupewa 33% ya mshahara kwa miezi 6
 
Wafanyakazi kilio kila mahali, Serikalini, umma na sekta binafsi
 
Back
Top Bottom