Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Mtumishi wa namna Hiyo ndo alipaswa kutumbuliwaKama kuna mtumishi atakayempigia kura Rais Magufuli kwakuwa ameongezewa mshahara mwezi huu na kuisahau miaka 5 ya mateso basi hana akili huyo mtumishi wa umma.