Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Too little too late
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aongeze mwezi huu kutoka kwenye bajeti gani?Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.
Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.
Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.
Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.
View attachment 1605741
Mwaka 2015 pia mlipiga huu mkwara wa kwenda The Hague lakini mpaka leo hamjaendaHuyu Magu The Hague inamuhusu..namuonea huruma sana mama Janet naye atasombwa tu kama mke wa Gbagbo
Ya IkuluAongeze mwezi huu kutoka kwenye bajeti gani?
Lowassa alizengua.Mwaka 2015 pia mlipiga huu mkwara wa kwenda The Hague lakini mpaka leo hamjaenda
We jamaa una akili nyingi sana,unataka kumuingiza mwenzio kingi.ye mwenyewe hajui hatma ya ajira yake.Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.
Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.
Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.
Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.
View attachment 1605741
Mwaka wa 6 na miezi 6 kazini sijapanda daraja ewe mungu tupa jicho lako kwetuHizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.
Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.
Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.
Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.
View attachment 1605741
Sio rahisi kutumia fedha bila bajeti. Hata hivyo suala la nyongeza ya mishahara linahitaji mipango kweli kweli kwani ni fedha nyingi sanaHizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.
Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.
Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.
Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.
View attachment 1605741
So sadMwaka wa 6 na miezi 6 kazini sijapanda daraja ewe mungu tupa jicho lako kwetu
Mh kikwete katika uongozi wake pamoja na ufisadi mwingi uliokuwepo aliweza kuongeza mishahara kila mwaka.Sio rahisi kutumia fedha bila bajeti. Hata hivyo suala la nyongeza ya mishahara linahitaji mipango kweli kweli kwani ni fedha nyingi sana
Mh kikwete katika uongozi wake pamoja na ufisadi mwingi uliokuwepo aliweza kuongeza mishahara kila mwaka.
Hujawahi wastudy watumishi wa umma vizuri.Laiti Kama kura zingekuwa zinapigwa na watumishi pekee yake Magufuli angefeli saa mbili asubuhi.Huyu anakiburi sn ngoja CDM wamunyooshe, sema kundi la watumishi wa umma linawatu wapumbavu sn wengi ndiyo wanaohujumu upinzani ili jiwe arudi tena aendelee kuwatesa
Umeona eeeh,Kwanza anaweza ongeza halafu akaporaBado siku 4 atuongezee laki 200000/= na kumshughulikia kuko palepale.
Itakuwa kweli hamna ongezeko.Halafu kada za ulinzi nao wanamchukia hatariiiiKuna kada za ulinzi zimeshakula mshahara jioni ya leo nasikia hamna omgezeko lolote japokuwa sina uhakika na taarifa hizi