Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ongeza mishahara mwezi huu, watumishi watakuelewa

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli, ongeza mishahara mwezi huu, watumishi watakuelewa

Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.

Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.

Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.

Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.

View attachment 1605741
Aongeze mwezi huu kutoka kwenye bajeti gani?
 
Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.

Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.

Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.

Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.

View attachment 1605741
We jamaa una akili nyingi sana,unataka kumuingiza mwenzio kingi.ye mwenyewe hajui hatma ya ajira yake.
 
Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.

Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.

Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.

Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.

View attachment 1605741
Mwaka wa 6 na miezi 6 kazini sijapanda daraja ewe mungu tupa jicho lako kwetu
 
Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu.

Ili kupunguza 'technicalities' nakushauri uongeze 'flat tate' yaani ukiamua kuongeza, ongeza bila kujali ngazi ya mshahara wa mtumishi. Kwa mfano, unaweza kuongeza 50,000/= kwa kila mtu.

Nakuhakikishia watumishi ni watu wasio na kinyongo na watakuelewa. KUMBUKA uliwaahidi mwaka 2015 lakini hujawahi kutekeleza ahadi yako.

Hiyo ahadi uliyotoa jana ukiwa PWANI, watumishi wanailinganisha na ile ya 2015. Ili ahadi hiyo iwe na nguvu, wakati ni sasa.

View attachment 1605741
Sio rahisi kutumia fedha bila bajeti. Hata hivyo suala la nyongeza ya mishahara linahitaji mipango kweli kweli kwani ni fedha nyingi sana
 
Sio rahisi kutumia fedha bila bajeti. Hata hivyo suala la nyongeza ya mishahara linahitaji mipango kweli kweli kwani ni fedha nyingi sana
Mh kikwete katika uongozi wake pamoja na ufisadi mwingi uliokuwepo aliweza kuongeza mishahara kila mwaka.
 
2015 alitoa ahadi ambazo utekelezaji wake ulikuwa Ni 2015-2020.Mishahara kafeli kabisaaaaaa.Kama ahadi ya mishahara alifeli kuitimiza je hii anayotoa atatimiza? Huyu Ni Karl Peters na mikataba ya kilaghai
 
Kuna kada za ulinzi zimeshakula mshahara jioni ya leo nasikia hamna omgezeko lolote japokuwa sina uhakika na taarifa hizi
Itakuwa kweli hamna ongezeko.Halafu kada za ulinzi nao wanamchukia hatariiii
 
Back
Top Bottom