Rais Magufuli, samahani mimi sijakuelewa kuhusu COVID-19 tests...

Rais Magufuli, samahani mimi sijakuelewa kuhusu COVID-19 tests...

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Mh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.

Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.

Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?

Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?

Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.

Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.

Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?

ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.

Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?
 
FB_IMG_1588498598945.jpg


Biashara ya mafenesi itakuwa ngumu sana
 
Huyu jamaa anataka kuaribu mashine ya kufanyia uchunguzi wa Corona alafu aseme mashine ni mbovu.
Dr watuambie; sample ya corona inayopelekwa maabara inachukuliwa nini...damu..majimaji..nyama...au kitu gani; afi hizo sample zipatikane kwenye oli..fenesi..papai...mbuzi..kondoo...binadamu adi kwenye mchanga.
 
Mh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.

Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.

Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?

Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?

Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.

Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.

Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?
ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.
Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?
Hakuna rais ni kituko cha karne
 
Rudia
Mh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.

Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.

Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?

Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?

Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.

Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.

Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?
ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.
Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?
Rudia kusikiliza hotuba yake ,kaeleza kila kitu ,maswali ya majibu yako yanapatikana humo


Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom