Rais Magufuli, samahani mimi sijakuelewa kuhusu COVID-19 tests...

Rais Magufuli, samahani mimi sijakuelewa kuhusu COVID-19 tests...

Kwani ni kipi kilicho msukuma hadi kupima matunda, mbuzi na oil na kwa malengo gani au aligundua nini kabla? tuanzie hapo huenda labda mimi ndio sijaelewa,
Huyu ni mwanasayansi anayejua kila kitu na asiye amini kitu kinachofanywa na mtu mwingine na hasa hicho kitu Kama hakimrudishii sifa na utukufu yeye
 
Ccm mmetukosea sana Watanzania kwa kutuletea huyu boko kua Rais..rais wa corona ni lifuta tuuu .Huyu mzee atakua mchawi lazma
 
Huyu ni mwanasayansi anayejua kila kitu na asiye amini kitu kinachofanywa na mtu mwingine na hasa hicho kitu Kama hakimrudishii sifa na utukufu yeye


Acheni uongo mwanasayansi gani ambaye hata ajawaiga kufanya kazi yeyote nje ya ualimu na siasa ache n kumvisha vyeo mtu asiyejua lolote
 
Kea wenzetu angekuwa tiali alishapelekwa kufanyiwa uchunguzi maana sio kwa maboko haya!!!
 
Tulipofikia sasa ni zaidi ya mkanganyiko kikubwa ni mtu na familia yako kuchukua tahadhari zaidi za covid 19
 
Ariye uza mkufu kauza wa bandia, Ariye toa Dora kutoa bandia.

Iweje maabara ya binadamu wapeleke sampuli za wanyama na mimea.
 
Acheni uongo mwanasayansi gani ambaye hata ajawaiga kufanya kazi yeyote nje ya ualimu na siasa ache n kumvisha vyeo mtu asiyejua lolote
Mkuu msikilize tena, amesema yeye ni mwanasayansi tena mtaalamu wa catalyst
 
kwani magufuli amekataza watu wasiende kuabudu? acha uoga utakufa mapema kwa presha, halafu wewe ni mchoyo unatumia kigezo cha corona kufukuza watu kwako.
Mm pia nimmfukuza kijana kwangu. YEYE anondoka toka ijumaa jioni anaenda kukesha kanisani na kurudi jumapili jioni . Nikaona hatari iliyopo. Yeye akaamua kupangisha lakini bado anakuja kwangu kupata chakula. Nimeona hatark bado ipo. Nimempiga stop. Mm naenda kanisani kwetu, viti mita moja toka kingine. Hakuna nyimbo na tunachukua muda mfupi wa kusali. Pia ukiingia unanawa maji yenye dawa na kabla hujaingia kanisani mlangoni unapuliza tena sanitaiza. Watayarishaji wa kanisa siku moja kabla wananyunyuzia viti vyote dawa. NDIO NINA IMANI NA HATUA HIZI ZA KANISANI KWETU NA KUWEZA KWENDA KUSALI. TUMESIKIA MAAMBUKIZI YALIYOTOKEA MAENEO YA IBADA. TUJIKINGE NA MUNGU ATUSAIDIE.
 
Hatari sana Mapapai
IMG-20200503-WA0017.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi, haeleweki wapi? Maelezo yako pia yamejaa paukwa za miaka mingi huku ww ukiwa hutaki muono wa sasa.

Mwl gani unayemzungumza eti alikuwa anajifungia na satellite anaona mambo ya duniani Kisha anakuja kutuhabarisha kuwa ameona maono .

Hizi ni paukwa ambazo kiuhalisia mpaka leo zinajionesha Mwl Nyerere alikuwa Genius kwa kiasi kikubwa lile alilofikiri na kulitoa kwa wananchi baadhi walipokea, wengine walibeza na wengine kukaa na mashaka.

Mwisho wa siku yalipojiri, wengine wanasema aliona kwenye satellite kabla, wengine wanasema alioteshwa wengine wanashangaa
Rudia hotuba zake kila toleo utaona usema SATELITE ni upuuzi.

Mfano anaposhangaa vigogo duniani kuungana huku viinchi vidogo vikifikiria kutengana ni upuuzi unahitaji kuwa na satellite .

Kuwa na mitazamo mipana ya kuwa na jumuiya ya Afrika Mashariki yenye nguvu kiuchumi huku wananchi wa Afrka Mashariki wakiwa wamoja wenye kuushi kwa upendo kiasi mabeberu wakapambana na kufanikisha kuiua hiyo jumuiya bado unahitaji Mwl ajifungie kwenye satellite ?

Tusijidharau kiasi hicho, rais anayomashaka makubwa hata mm ninapoumwa na kwenda kuchukua vipimo pia huwa na mashaka.

Moyoni ningependa hata kuwekwa wazi hii ndo damu yako , tunachanganya na hiki na hiki Kisha tutapata hiki katika kugundua hili, iwe mkojo, mavi, nk.

Hongera Rais NAKUKUBALI.
 
Mm pia nimmfukuza kijana kwangu. YEYE anondoka toka ijumaa jioni anaenda kukesha kanisani na kurudi jumapili jioni . Nikaona hatari iliyopo. Yeye akaamua kupangisha lakini bado anakuja kwangu kupata chakula. Nimeona hatark bado ipo. Nimempiga stop. Mm naenda kanisani kwetu, viti mita moja toka kingine. Hakuna nyimbo na tunachukua muda mfupi wa kusali. Pia ukiingia unanawa maji yenye dawa na kabla hujaingia kanisani mlangoni unapuliza tena sanitaiza. Watayarishaji wa kanisa siku moja kabla wananyunyuzia viti vyote dawa. NDIO NINA IMANI NA HATUA HIZI ZA KANISANI KWETU NA KUWEZA KWENDA KUSALI. TUMESIKIA MAAMBUKIZI YALIYOTOKEA MAENEO YA IBADA. TUJIKINGE NA MUNGU ATUSAIDIE.
umempiga stop kwenda kanisani au kuja kwako kula?
 
Back
Top Bottom