Rais Magufuli, samahani mimi sijakuelewa kuhusu COVID-19 tests...

Anakuambia vipimo fake. Si anunue original ?
 
Kwani ni kipi kilicho msukuma hadi kupima matunda, mbuzi na oil na kwa malengo gani au aligundua nini kabla? tuanzie hapo huenda labda mimi ndio sijaelewa,
Update:
Hoja ya Rais nimeielewa, hoja yake ilikuwa kama sampuli hizo zilizo pimwa zimekutwa (+Ve) basi huenda pia kuna wengi wanapimwa na kupewa majibu yasiyo sahihi.
 
Wakuu tusiache kuchukua tahadhari za kujikinga na Corona. Kinga ni bora kuliko tiba.
 
Kama tuna kiongozi anaamini kabisa taarifa aliyopewa kuwa "sample" zinatoka kwenye oil, fenesi, papai, mbuzi, kondoo na binadamu zote zinaleta majibu ya kimaabara yenye kufanana kuhusu gongwa hili. Basi kama nchi tuna tatizo kubwa sana la kiuongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechoka niliposikia hadi sample ya oil ya gari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…