Mimi natake measures zote kama Magufuli anavyofanya binafsi. Kanisani siendi. Sitoki hovyo hovyo. Hapa kwangu sitaki wageni kabisa.Mimi najikinga na ninamuomba Mungu anilinde pia.@Victoire my dream wife, nikirudi huko kwa magufuli lazma nikutafte hope Corona itakuacha salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona haipo,lakini tunaagiza dawa kutibu ugonjwa ambao haupoChadema Sijui watapinga nini kwenye hii hotuba ya kiuchunguzi na kisomi Kutoka kwa Rais Magufuli
kwani magufuli amekataza watu wasiende kuabudu? acha uoga utakufa mapema kwa presha, halafu wewe ni mchoyo unatumia kigezo cha corona kufukuza watu kwako.Mimi natake measures zote kama Magufuli anavyofanya binafsi. Kanisani siendi. Sitoki hovyo hovyo. Hapa kwangu sitaki wageni kabisa.Mimi najikinga na ninamuomba Mungu anilinde pia.
Hajakataza,ila yeye haendi kanisani.kwani magufuli amekataza watu wasiende kuabudu? acha uoga utakufa mapema kwa presha, halafu wewe ni mchoyo unatumia kigezo cha corona kufukuza watu kwako.
we fata maneno siyo matendo.Hajakataza,ila yeye haendi kanisani.
Mimi nafuata matendo.we fata maneno siyo matendo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumsikilize yetu tu maana ndo anajua kila kitu,huyu jamaa anaiwazia Tanzania na watu wake mema sanaMh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.
Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.
Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?
Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?
Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.
Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.
Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?
ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.
Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?
Peleka na Sampuli hii
View attachment 1438545
Ni jambo jema hukumwelewa maana katika mengi aliyoyesema umenukuu yale unayotaka kama ushahidi wa hisia zako hasi.Mh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.
Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.
Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?
Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?
Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.
Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.
Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?
ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.
Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?
Ajielewi overMh Rais sisi Watanzania pamoja na unyonge wetu nakuku amini kama Rais wetu kiukweli hatukuelewi na mimi sitaki kuwa mnafiki napenda niweke kumbukumbu sio kubishana na mwalim hapana ila kumwambia mwalim sijakuelewa.
Leo umesema mlipeleka sample za mbuz?, oil,mafenesi na mapapai na vilileta majibu + nikorona.
Mh Rais what if wapimaji hawakuwa makini nakitokana na sampul nyingi wakaleta result hiyo?
Pili kama kweli unayoyasema sisi hatupo kwenye kisiwa Kwanini usiwaite who waje Tanzania washuhudie huwo udanganyifu wa mabeberu,?
Mh unatukumbusha zama zile za mwal alipozuwia tv na yeye akajifungia ndani na satelite yake akiona dunia inaendaje nakuja tusimulia. Zama zimebadilika taifa lina watu wana akili kiasi zinamwagika kutupa maneno yajumla jumla while hatujuw kesho yetu nihatari kwa ustawi wa taifa letu na usalama pia.
Ulisema watu wajifukize lakini ili kukiuwa kirus cha covid unaitaj joto linalo fikia 56-58c je kuna mwanadam anaweza kujifukiza mpaka kwenye hicho kiwango wakati joto lamwanadam tu halizid 37cent. Hivi kweli unajuwa madhara ya hotuba zako kama Rais na mwisho wake.
Wewe ndio rais wetu ila wewe sio Dr wala sio mwanasheria wala bunge. Why kuongelea watu wengine nakuwaacha ktk mkwamo bila majibu? Sasa wafanyeje?
ima maana kwa kauli yako mask na vipimo vyote fake so what is alternative2.
Mkuu wangu na mzee wangu zitafakari kauli zako. Unatuathiri sana kamaRaia kisaikolojia. Je tumsikilize nani?