2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Sitaki kuongea mengi ila toka ameingia 2015 mpaka kufikia hotuba yake ya jana ni dhahiri huyu mzee amekuza Kiswahili sana.
Nimependa sana anavyojiamini, hata akiwa na mgeni badala ya kuwa mtumwa wa lugha amekuwa shujaa wetu.
Tumpongeze kwa hilo tafadhali. Zamani, Watanzania wengi walifichwa mambo mengi kwenye lugha ya Kiingereza. Mf. Ukienda ofisi ya uma kueleza shida yako unaweza jibiwa kwa neno ambalo hulielewi na hapo hutakiwa na cha kuuliza tena.
Vivyo hivyo unakuta mtumishi wa serikali anazungumzia jambo basi kingereza 60% na Kiswahili 40%
Hata mahakamani sasa itakuwa Kiswahili hili jambo jema.
Nimependa sana anavyojiamini, hata akiwa na mgeni badala ya kuwa mtumwa wa lugha amekuwa shujaa wetu.
Tumpongeze kwa hilo tafadhali. Zamani, Watanzania wengi walifichwa mambo mengi kwenye lugha ya Kiingereza. Mf. Ukienda ofisi ya uma kueleza shida yako unaweza jibiwa kwa neno ambalo hulielewi na hapo hutakiwa na cha kuuliza tena.
Vivyo hivyo unakuta mtumishi wa serikali anazungumzia jambo basi kingereza 60% na Kiswahili 40%
Hata mahakamani sasa itakuwa Kiswahili hili jambo jema.