Ile taasisi ya WAMA itafumbia kinywa hili?
Naamini tunakoenda kuna sababu ya yeye kufanya vile. Issue sio mimba au kuendelea kusoma. Tatizo ni promotions na kufanya jambo hilo kuwa la kawaida. Hata mabwabwa wapo wengi miaka na miaka, tatizo ni ku promote kuwa kutumia Ceptic line its okay.Kama kweli kasema hivyo basi kapotoka sana na sikubaliani naye kabisa.
Mwanafunzi wa kike kupata ujauzito siyo kosa kubwa hivyo hadi anyimwe fursa ya kujiendeleza kielimu.
Hapo adhabu haiendani kabisa na kosa!
Sheria zipo mkuu.Huyu mzee sijui anawazaga nini kabla ya kuongea. Na wanaowapa ujauzito wasisomeshwe basi.
Aliyekuambia wakiume ataendelea na shule ni Nani?our no 1,leo amegusia topic muhimu mno ambaye yeye kama kawaida kaiweka kimihemko,please wana JF tujaribu kuidadisi hapa,ni kweli kila mzazi anapenda mtoto wake aelimike shuleni,
mtoto wa kike inapotokea anapata mimba why anaathibiwa yeye tu,maana anafukuzwa shule hadi yule wa kiume aliyempa mimba anaachiwa aendelee na masomo,kwangu huu ni utaratibu dume na unaendeleza ukandamizaji wa watoto wa kike,halafu baadaye tunakuja kupiga kelele ohooo mbona hatuna wasomi wengi wa kike,
kumbe wengi wao wameathiriwa na mfumo dume,solutions watoto wa kike waruhusiwe kuendelea na shule baada ya kuzaa,iandaliwe kampeni nchi nzima ili watoto wa kike wanaopenda wapigwa sindano za kuzuia mimba,na hizi zinatofautiana kutoka mwezi mmoja hadi miezi sita,ila ni lazima kila mmoja kupimwa maana zina side effects kutegemeana na mhusika,condoms zigawiwe bure mashuleni na iandamane na elimu nzuri how to use it safely,
its time noe tabia hii ya kuwafukuza shule only girls ife maana ni ya kibaguzi.
Wanaowapa watasomeshwa gerezani miaka 30?Huyu mzee sijui anawazaga nini kabla ya kuongea. Na wanaowapa ujauzito wasisomeshwe basi.
Hawakatazwi kusoma ila hawatasoma shule za umma.Kama kawaida ya mzee wa visasi, hivi hajui kuna watu wana chukua masters na tayari wana watoto wenye watoto.
Elimu ni haki ya kila mtu, hata kama mtoto wa sekondari kapata mimba haimaanishi hiyo haki yake inapotea, aendelezwe baadaye aje kuokoa mtoto sio kukaa anaongeza idadi ya wajinga wasio na kazi. Midingi yenye phd feki ndo haiwezi kuliona hili. Tz won't be saved by this guy, he's a joke.
Hahaha huyu atakuwa anakula gomba aisee sio ganja,hafai hata kukaa na mgonjwa mana atakufa mapema,hajua kupangilia maneno kwenye mtiririko wenye tafsidaVery very True...
Na wafanyakazi wenye watoto pia kila saa wanatoka kwenda konyonyesha kazi hazifanyiki. Mwambieni Mr. President kila kitu kina mipangilio huyo mwanafunzi aliyejifungua siyo kwamba atarudi muda mchache baada ya kujifungua kwani masomo yatakuwa yamempita atarudi baada ya mwaka maana ata kariri darasa kwa hiyo hapo hamna ruhusa ya konyonyesha. Na pia siyo wote watakao kuwa na uwezo wa kurudi wala asihangaike kuwachimbia mkwala wengine watashindwa maana kuna babysitter.Hao NGO wakajenge shule za Wazazi....kama vipi!
Huo mchezo ni mzuri (tukiwaacha watanogewa na kuzoea)
Itafika wakati kila mwanafunzi (mzazi) anatoka nje kwenda kunyonyesha!
ππππππππ
Huyu jamaa ana maneno sana...
hukuwahi kudhibiwa na wazazi ukiwa under 18?!..analaumika tu,tatizo malezi,mmeacha watoto walelewe na ulimwengu,ulimwengu una mengiHivi mtu akiwa under 18 tunamuhukumu kwa maamuzi yake?